Wale waliokua miaka ya mwanzoni ya 2000 (2000-2004) kulikuwa na kundi la music la mwanza walikuwa wanajiita BWV (boys with voices) walitoa nyimbo nyingi ila maarufu zilikuwa ni Barabara za mwanza (sijui nimepatia) na mzee kijana. Kama kuna mtu ana nyimbo zao hasa huo wa mzee kijana naomba...
Nisaidieni wakuu nataka nijue hapo... Mfano kuunganisha pay pal account, kulipia amazon, Alibaba etc ni bank gani nzuri naweza kutumia kufanya haya mambo
Natafuta msichana wa kutoka nae Christmas hii! Awe dar, umri miaka 17-27. Asiwe mwanafunzi wa secondary au primary(miaka 30 shida)! Awe na nguo za sikukuu tu...mengine nitacover. [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.