Ni muda mrefu sasa umepita tangu shughuli zote zinazo wahusu watumishi wa umma zilivyosimamishwa kwa kigezo cha kutafuta watumishi hewa, bila shaka zoezi linaelekea mwisho kama sio kuwa limeshakwisha.
Swali ni je, ni lini mchakato wa uhamisho utakuwa resumed?
Nimeelewa nilipokuwa sijaelewa.
BY THE WAY, NINAELEWA NEC NI NINI NA ZEC NI NINI.
Poleni kwa usumbufu wachangiaji wote hata wale mlioonyesha uwezo wanu wa kutukana. Siku zote mkono hukuna unapofika na sio vinginevyo.
Siasa za Tanzania zina maajabu yake, maajabu ambayo hauwezi kuyakuta popote Duniani, hasa siasa za upinzani.
Kwa kumbukumbu zangu ACT WAZALENDO na UKAWA waligomea uchaguzi mkuu wa marudio visiwani Zanzibar uliofanyika mwezi machi mwaka jana 2016.
Madai yao ilikuwa kukiukwa kwa misingi ya...
Busara ni jumla ya matumizi yako ya akili, uishindwa kuitumia akili yako vizuri kamwe huwezi kuitwa mwenye busara, inawezekana kuwa na busara matendo na matamshi ndio kiashiria cha kuwepo Busara, busara ni kipaji sio kila MTU anaweza kuwanayo, tuwasamehe, tuwaelimishe na kuwakubari wote wasio na...
Alichokipanga hakukiandika na alichokiandika hakukipanga huyu ndio saed kubenea muhariri mkuu wa gazeti la kiuchunguzi la Mwanahalisi.
Alichotaka kukiandika kubenea kilibadilishiwa angani, kwenye kidokezo kilichotolewa kupitia mtandao wa www.mwanahalisi.com kilionyesha uhakika kwa zaidi ya 80%...
Katika Jimbo la Kigoma mjini ambapo Zitto Kabwe ndio muwakilishi wa Jimbo hilo Bungeni, wananchi wamekuwa wakilalama na kumlalamikia mbunge wao kuwa hana msaada kwao zaidi ya kuwalaghai.
Wanakigoma wanalalamikia maji, umeme na miundombinu mibovu huku Zitto akiwa jijini Dar es Salaam ambako huko...
Tafadhalini wana JF naombeni mnisaidie kufahamu kuhusu uhamisho wa walimu, je nikweli mchakato huu umesimamishwa na kama umesimamishwa utafunguliwa lini?
Bring Back Ben Alive Hii ni movement slogan iliyoanzia ndani ya UTG yaani Union of Thinking Generation.
Makusudio ilikuwa kumsaka Ben na itabakia kuwa hivyo kwa mapenzi ya Allah.
Swali kwa wote, hizi tisheti zilizo chapishwa kwa niaba ya kusapoti movement, zinapatikanaje mikoani na mahali gani...
Ivi hamjafahamu kama kaoa eeh?
Basi fahamuni kuwa aliowa na aliowea ndoa yake ni ya msikitini kwa hiyo kamrudia Allah.
Ndoa ni ibada na siasa ni mali ya kaisali yeye sio mtoto wa kaisali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.