Hata mimi mwanzoni niliteseka sana na hawa wadudu, laikini baadae nilipata ufumbuzi na tiba halisi na ninakushauri uende kwenye maduka ya dawa za mifugo ulizia dawa fulani inaitwa FIPROFARM ni dawa ambayo iko kwenye kichupa kidogo. Ninakuhakikishia hii ukiispray ndani kwako usumbufu wote...
Sasa ndugu huo si mtaji tosha kabisa wa kuanzisha biashara? Kwanini Watz tunapenda kuajiriwa, achana na mambo ya kuajiriwa tumia hiyo fedha kama mtaji anzisha biashara yako. Hela yote hiyo uihonge kisa kazi ya kuajiriwa!!!!!!!!!!!
Hebu wadau tuliosoma Kilimanjaro boyz tukumbushane mambo mazuri yaliyofanyika au jambo lililokufurahisha/kukumbuka. Kwa upande wangu namkumbuka sana Baba mchafu, Kichekiche na ile supa market yetu(kwa mwambai). Nawakaribisha wadau tujikumbushe historia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.