Habari wadau
Kuna jamaa aliazima hdd kwa ajili ya kuchukua movies. Baada ya kuirudisha nikichomeka kwenye computer unaisikia imekuwa connected ila haionyeshi .
Nimejaribu kuweka kwenye computer tofauti lakini tatizo bado lipo.
Naomba msaada wenu .
nje ya mada
mapunye yananisumbua nimejaribu dawa nyingi lakini bado
sijawahi ugua huu ugonjwa yaani unanifanya mnyonge sana naomba anayejua dawa anisaidie
Ni kwa ajili ya taifa
Dunia ya sasa lazima ujichanganye na wenzio hata wewe huwezi ukajifungia ndani kwako
Tujitahidi kubadilisha fikra zetu akina Obama wakati wanazunguka dunia mbona hamjawahi kusema anapenda kuzurula ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.