Kwa upande wa kuomba leseni ya biashara ninafanya, kwahiyo tunaweza wasiliana kukusaidia kupata leseni yako.
Kama utahitaji masuala ya kusajili majina ya biashara BRELA pia nafanya.
Karibu WhatsApp 0752026992
Kwa wewe mwalimu wa shule ya msingi mwenye uhitaji wa andalio la somo shule ya msingi kwa mwaka mzima mada zote, zipo tayari na unaweza kuzipata popote ulipo Tanzania.
Uaminifu kipao mbele na Sample zipo utatumiwa kujiridhisha kwanza.
Tuma meseji WhatsApp "nahitaji andalio la somo" kisha...
Kama una mpango wa kuwa naye kama mke, Share kile kidogo unachopata na muweke wazi kuwa bajeti yenu kwasasa itakuwa haizidi kiasi fulani kutegemeana na hali yako.
Kubaliana na hali halisi ya uchumi wako kwasasa.
Kama mwanamke wako ni kundi la wale wajinga wafuata mkumbo na maisha ya kuigiza...
Kutembea miguu peku siku moja moja ni dawa.
Pambana katika utafutaji na uwe na uwezo wa kuyatawala maisha yako kisha ishi yale maisha wanayoishi Monks wa dini ya Buddhism.
Fanya Mazoezi kwa bidii kama jinsi unavyokula kwa bidii.
Yafanye Mazoezi kuwa sehemu ya maisha yako kama jinsi chakula kilivyo sehemu ya maisha yako.
MKUU FANYA MAZOEZI.
Ingi kwenye hizo platforms kutafuta hela. Kama hauingizi hela yoyote kwenye majukwaa hayo basi hayakufai.
Ila kama unapata wateja wa huduma au bidhaa yako, komaa usiache.
Umeona comment yangu au post yangu hapa JF, ukaona kuna kitu unahitaji kufahamu zaidi.
Baada ya kuchukua namba, ingia WhatsApp anza salamu ya kueleweka kisha elezea shida yako moja kwa moja.
Siyo unafika WhatsApp au PM unaanza "Hi, Hello" halafu unakaa kimya unasubiri ujibiwe ndiyo ujibu...
1. Nitaanza na kufumua mfumo wa elimu ujikite katika vitendo zaidi na siyo nadharia.
2. Somo la computer na matumizi ya mtandao litakuwa lazima kuanzia shule ya msingi hadi vyuo vikuu.
3. Nitaondoa maisha ya mfumo wa ujamaa na kuupa kipao mbele ubepari. Unapata unachostahili na baada ya...
Ni rahisi sana kama ukiwa na nia ya dhati ya kujituma na uvumilivu ila ni ngumu kama hauna uvumilivu.
Ukipewa vitu bure hauwezi kuvithamini ila ukilipia utaona uchungu na utajituma kutekeleza yale utakayojifunza.
Kwa mwenye uhitaji na nia ya kujifunza jinsi ya kujiajiri kupitia mitandao...
Ulimwengu wa sasa pambana utafutwe wewe upewe kazi (be valuable)
Tumia mitandao kuonyesha ujuzi na uwezo ulionao watu watakutafuta na kulipa gharama ya kuwa na wewe.
Ulimwengu umebadilika.
Kupitia ujuzi wa Digital Marketing nimekutana na kufundisha Wajasiriamali na watu ambao sikudhani kama...
Angechukua tahadhari baada ya kuona muenendo tofauti kwenye account yake.
Kama anakumbuka namba ya simu aliyotumia wakati wa kutengeneza account yake tuwasiliane kumsaidia.
Zama za kuanzisha biashara na kukaa kusubiria wateja waje, zimepitwa na wakati.
Ushindani katika biashara umekuwa mkubwa sana na una hatarisha biashara nyingi zinazomilikiwa na watu ambao siyo wabunifu hasa katika kutafuta masoko.
Nimekuandalia E-Book ambayo itakuonyesha mbinu 4 bora za...
Online uza huduma, bidhaa au kipaji chako.
Ukiingia online kutaka mafanikio ya HARAKA ndiyo mwisho unaishia kulalamika hakuna pesa online.
Weka malengo ya kueleweka utaweza kuona matokeo.
Nenda Google search "Musabskilld" pitia tovuti na pages zote utakazoletewa.
Nimekutana na watu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.