Mh Magu ameonekana ni Bora sana ukilinganisha na wana-CCM wenzake Chama kimoja ila mm nafikir tungekubali tukawa demokrasia vumilivu ikawa ni halali wapinzani wenye mawaza tofauti wakatawala inamaana makosa mengi yangekuwa yanarekebishwa sheria kali zingekuwa zinatungwa ili kulinda raslimali za...
Nimepitia comments za watu inaonekana kuna ukwel flan sio bure. Ila jamaa ameushauri serikal aonavyo yeye wakuu wanapatikana kijanja janja..badiliken bn ukwel usemwe tu
Ni kwamba WaIzrael wengi wapo katika technology ya zana za kivita na wamekuwa wakitegemewa sana kuzalisha silaaa.. ila Marekan wao wako na fedha nying sana kuweza kusapoti technologia kuliko Taifa lolote dunian..
Lakini kuwa BBC haina maana mtu atakuwa tofauti na wengine waliowai kuwa katika nafasi zingine tofauti tofauti uko dunia na walivyoondoka uko walikuja na kuwa wa kawaida tu. Mm nafikir ungejishaur au kushaur wengine ambao wanataka kuwa kama yeye Salim sio Salim kuwa zaidi ya kile alichokuwa...
Kabisa mkuuu uku ni kukosa uzalendo kabisa. .hakuna utanzania hapo... Kwanza tupate Katiba mpya rais apunguziwe madaraka na aondolewe kinga maana na yeye hufanya mambo bila kujali wananachi... ndio tutakuwa Geneva of Afrika vizur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.