Dah!! Ila alikua poa sana huyu jamaa somo lake watu tulikua tunajipgia tu hakua mnoko.. Kanifundisha mim mwaka 2016.. Tena alikua na msemo wake anapenda kuusema " common sense is not for most common people" sasa sijui imekuaje tena lecture wetu kazingua
Shida ni nipo nasoma chuo na kufanya kazi so naona kuanza kuisha na mwanamke tutasumbua tu na kuchanganyana akili.. So lengo langu awe anakuja weekend tu na kuondoka na sio kuja na kukaa week nzima au mwezi atanichosha akili na mwili
Moto nampelekea mwingi tu mpaka anakilimbiliaga kulala sebuleni.. Sema tu nataka nimuondoe kwa amani ili siku nyingine nikimwita aje.. nitakua namalizana nae lodge.
Ni binti mzuri tu anavutia sana nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwenye mkesha wa mwaka mpya tena kanisani. Baada ya siku tano nikamtongoza tukawa wapenzi.
Jumapili iliyopita nilifanikiwa kumleta maghetoni na kula mzigo kwa mara ya kwanza. Sasa ndugu msomaji huyu mrembo toka aje Jumamapili...
Tulikutana kwenye kivuko cha kigamboni miaka saba iliyopita.. Mda mwingine huwa tunaachana kila mtu anafanya mambo yake. lakin huwa tukionana hata kwa bahata mbaya lazima turudiane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.