Hivi wandugu kodi anayozungumzia Mh. Lukuvi ni ipi ni ya Majengo au Ardhi kwa maana tarehe ndio zimeshafikia mwisho msaada wa kujua ni ipi kati ya hizo mbili mheshimiwa alisisitiza tulipe na mwisho ni tarehe 30 mwezi huu wa 5.
Vijana wengi wa kitanzania wanaoishi china na wengi wanaofanya safar zao mara kwa mara wana utajiri wa ghafla na mkubwa vijana wanamiliki acc za usd hapa mjini na zenye mzigo/pesa za kutosha na maduka ya nguo skuizi wanakimbilia kufungua car wash na wengine bar za kisasa kabisa wengi wanakuwa...
Vijana wengi wa kitanzania wanaoishi china na wengi wanaofanya safar zao mara kwa mara wana utajiri wa ghafla na mkubwa vijana wanamiliki acc za usd hapa mjini na zenye mzigo/pesa za kutosha na maduka ya nguo skuizi wanakimbilia kufungua car wash na wengine bar za kisasa kabisa wengi wanakuwa...
Naomba kuuliza nimechukulia tin no yangu dar es salaam ni ya lesen ya udereva na hivi sasa nipo mkoani kikazi je naweza kusubiri zoezi hili likianza mikoani na kuweza kuhakiki
Basi hilo linalofanya safar zake Dar-Mbeya limepata ajali maeneo ya chalinze kwa kugonga gari ndogo kwa nyuma ambapo gari ndogo haipo pichani ilisimamishwa na trafiki ndipo basi likamgonga kwa nyuma abiria baadhi wamepata michubuko na hakuna aliyepoteza maisha abiria wanasuburi basi lingine ili...
Nahitaji msaada, nawezaje au naanzaje kuisafirisha boda boda iliyopo Dar kuja Mbeya (sio Mbeya kabisa bali kabla ya Mbeya). Mimi nipo huku nahitaji kujua kuna kampuni gani inaweza nisafirishia au gharama au mwana jamiiforum anayekuja Mbeya siku za karibuni basi tuwasiliane.
Tangu nimefika hapa chima mkoa wa mby nimefikia lodge moja kisha nikaonyeshwa mmiliki wa hiyo lodge ni mbaba mwenye umri kati ya 35-40 ila tangu nimuone siku ya kwanza hadi namaliza wiki pale kila nimuonapo yuko na same cloth na ni maarufu sehemu hiyo kwa kuwa na maduka na anamiliki mashamba na...
Ndugu zangu huyu ni mtoto john wa chimala mbeya anaandaa bustan ya kupanda mahindi ki ukweli ni kwamba kwa hapo baadae hawez pata shida kwenye swala la kilimo tuwajenge watoto zetu kama mtoto huyu hata kwa bustan ndogo majumbani hakika ni kwa faida yao
Nimeangalia taarifa ya habari ya itv nimeona ofisi ya ubalozi wa israel imefunguliwa rasmi leo na balozi wa israel ameahid kwa kutokukosa visa kwa mtanzania anayeomba na amesema waranzania wengi wapo israel swali langu kwenu ndugu zangu huko israel kuna fursa gani na kwa watanzania mlio huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.