Msaada kuhusu kipengele hiki kwenye maambukizi ya mtoto

johnlowasa

Senior Member
Sep 29, 2016
121
76
Naomba kujua kwa kipande hiki cha picha je mtoto hapo anakuwa ameathirika au sijaelewa vizuri msaada
a785ec31d7560ec4cc762df130e48ad4.jpg
 
Mbona watu wapo kimya kwenye hii post au wataalamu wa utabibu humu JF wote wametekwa?
 
Hii thread muhimu sana. Tunaomba wenye ujuzi wa haya mambo waje watusaidie. Ila kwa ufahamu wangu ni kuwa kwa kuwa mama ni muathirika basi mtoto anapewa hiyo dawa ili kusuppress virus in case kama walipenya kwa ntoto wakati wa kujifungua. Hiyo.humuweka salama mtoto. Ni sawa na ile dawa anayopewa mtu ndani ya masaa 72 baada ya kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi ya kupata HIV. I stand to be corrected.
 
Hii thread muhimu sana. Tunaomba wenye ujuzi wa haya mambo waje watusaidie. Ila kwa ufahamu wangu ni kuwa kwa kuwa mama ni muathirika basi mtoto anapewa hiyo dawa ili kusuppress virus in case kama walipenya kwa ntoto wakati wa kujifungua. Hiyo.humuweka salama mtoto. Ni sawa na ile dawa anayopewa mtu ndani ya masaa 72 baada ya kuwa exposed kwenye mazingira hatarishi ya kupata HIV. I stand to be corrected.
Umeiweka vizuri mkuu tusubiri wataalamu sasa
 
Naomba kujua kwa kipande hiki cha picha je mtoto hapo anakuwa ameathirika au sijaelewa vizuri msaada
a785ec31d7560ec4cc762df130e48ad4.jpg
Sio kwamba mtoto anakuwa ameathirika kwa ufahamu wangu mtoto anakua exposed ndio mana anapewa hiyo dawa kama kinga yan inakua kama pep tu tena anapewa for 42days,ili kujua kama ameathirika ama la ni mpaka afanye kipimo kinaitwa DBS mara 2,cha kwanza akiwa na miez6 na kipimo cha pili akiwa na miez 18,kama vyote vitakuja na majibu ya +ve basi atakua ameathirika na ataendelea na ARV's kama kawaida...
 
Sio kwamba mtoto anakuwa ameathirika kwa ufahamu wangu mtoto anakua exposed ndio mana anapewa hiyo dawa kama kinga yan inakua kama pep tu tena anapewa for 42days,ili kujua kama ameathirika ama la ni mpaka afanye kipimo kinaitwa DBS mara 2,cha kwanza akiwa na miez6 na kipimo cha pili akiwa na miez 18,kama vyote vitakuja na majibu ya +ve basi atakua ameathirika na ataendelea na ARV's kama kawaida...
anapewa dawa inaitwa niverapine syrup na ni kwa muda wa siku 28
 
Naomba kujua kwa kipande hiki cha picha je mtoto hapo anakuwa ameathirika au sijaelewa vizuri msaada
a785ec31d7560ec4cc762df130e48ad4.jpg
Nkiangalia hyo report japo iko nusu doctor kazungushia PMTCT(Prevention of Mother to Child Transmissions)...sasa kuna mawili mkuu siwezi kusema mama ameathirika au laa cuz medicine is all about diagnosis..

Assumptions
1. Kama mama alipimwa na akakutwa na VVU basi mtoto amepewa hizo ARV's kumkinga mpaka pale atakapo acha breast feeding ( sina uhakika kama mama ameathirika au laa mpaka vipimo)

2.Siku hizi madaktari wanafanya kitu kinaitwa PPHP yaan sehemu zilizo prone to HIV wanamkinga mtoto yeyote anapozaliwa...kwanini??.... kwasababu dispensaries na health centre zetu hizi na hata hospital za wilaya na mikoa haziwezi kupima instant presence of HIV mapaka baada ya at least miezi 3 ndipo watakapo tambua uwepo wa maambukizi sasa kwasababu hii wanaassume either inawezekana mama kaambukizwa hivi karibuni hvyo wanaondoa ile possibility ndogo ya mama kumuambukiza mtoto..
Note: Mkuu hiyo report haitoi maandishi ya DXs kuwepo kwa maambukizi bali inaonyesha PMTCT procedures sasa fika hospital kwa msaada zaidi
 
Nkiangalia hyo report japo iko nusu doctor kazungushia PMTCT(Prevention of Mother to Child Transmissions)...sasa kuna mawili mkuu siwezi kusema mama ameathirika au laa cuz medicine is all about diagnosis..

Assumptions
1. Kama mama alipimwa na akakutwa na VVU basi mtoto amepewa hizo ARV's kumkinga mpaka pale atakapo acha breast feeding ( sina uhakika kama mama ameathirika au laa mpaka vipimo)

2.Siku hizi madaktari wanafanya kitu kinaitwa PPHP yaan sehemu zilizo prone to HIV wanamkinga mtoto yeyote anapozaliwa...kwanini??.... kwasababu dispensaries na health centre zetu hizi na hata hospital za wilaya na mikoa haziwezi kupima instant presence of HIV mapaka baada ya at least miezi 3 ndipo watakapo tambua uwepo wa maambukizi sasa kwasababu hii wanaassume either inawezekana mama kaambukizwa hivi karibuni hvyo wanaondoa ile possibility ndogo ya mama kumuambukiza mtoto..
Note: Mkuu hiyo report haitoi maandishi ya DXs kuwepo kwa maambukizi bali inaonyesha PMTCT procedures sasa fika hospital kwa msaada zaidi
Maelezo mazur ila mkuu samahan kama umeangalia vzuri hapo palipozungushiwa pameandika pmtct1,lakini pia inawezekanaje kumpa mtoto nevirapine kama mama hana maambukizi?nafikir kuna huduma ya kupma kabla ya kujifungua,ss hapo pakutoa dawa sehem ambayo maambukizi yako juu nmeshindwa kuelewa naomba ufafanuz
 
Maelezo mazur ila mkuu samahan kama umeangalia vzuri hapo palipozungushiwa pameandika pmtct1,lakini pia inawezekanaje kumpa mtoto nevirapine kama mama hana maambukizi?nafikir kuna huduma ya kupma kabla ya kujifungua,ss hapo pakutoa dawa sehem ambayo maambukizi yako juu nmeshindwa kuelewa naomba ufafanuz
Mkuu Nevirapine ni NNRTI sawa kabsa ila sasa hv pre and post natal HIV prevention(pphp) inafanyika kwa njia kadha wa kadha kwenye area prone to the very problem...by the way kule juu nmemueleza PMTCT in general ila nmeona wameandika PMTCT 1 i know what's up refer med-ethics mkuu hilo ni swala na daktari wake kumake conclusions on such complex matters hatujui aliambiwa nn...ndio maana sijapenda kua msemaji kuhusu mama ila mtoto ambayo we might say in general afya yake hahaha!

Nadhani unaipata point yangu ya kutozungumzia afya ya mama kwenye hyo report
 
Mkuu Nevirapine ni NNRTI sawa kabsa ila sasa hv pre and post natal HIV prevention(pphp) inafanyika kwa njia kadha wa kadha kwenye area prone to the very problem...by the way kule juu nmemueleza PMTCT in general ila nmeona wameandika PMTCT 1 i know what's up refer med-ethics mkuu hilo ni swala na daktari wake kumake conclusions on such complex matters hatujui aliambiwa nn...ndio maana sijapenda kua msemaji kuhusu mama ila mtoto ambayo we might say in general afya yake hahaha!

Nadhani unaipata point yangu ya kutozungumzia afya ya mama kwenye hyo report
Nimekupata,shukran kwa ufafanuzi
 
Hzo pep kwann madactari wanakuwa wagumu kutoa?
Au zinamadhara?
Na kama zinamadhara ni yapi?
 
Back
Top Bottom