Elnino ni hali ya hewa inayofanya kuwe na ongezeko kubwa la mvua kuliko ujazo unaorekondiwa kwa msimu. Mfano mvua za mwaka jana kipindi chote cha masika ujazo wake sio sawa na huu.
Sasa sina hakika kama hizi mvua ni za Elnino ama la.
Mto Lumemo umemwaga sio mchezo ni balaa!! Kifupi kama unatokea Kibaoni kuja mjini, kuanzia ilipo Villa Lodge kote maji yamefurika balaa.
Njoo mpaka Kona ya Jerusalem kote huko ni maji tu, kama unafahamu barabara ya kwenda PK arena nako ni maji yanapita juu ya barabara kama mto..
Sogea mbele...
That's it sasa mtu anakupa tips na bado unamtaka amlete eti mtu aliyeshudia, kazi ya upelelezi ni nini? Nyenzo wanapewa elimu wanapewa zaidi ya yote umepewa na tips, hawa askari noma sana.
Wewe Mwananchi B umenichekesha sana eti au sio mbali? Unajua ukiwa Tunduma boda ya Tz na Zambia network ya airtel Zambia inasoma, likewise iko possiblity ya network ya Burundi kusoma baadhi ya maeneo Kigoma.
Fanya hivyo bwana ngada.. chuma iko vizuri cha muhimu cheki site tofauti tofauti ulinganishe bei. Mimi niliagiza kupitia autocom Japan. Shida ya hawa wanastock ndogo sana ya hizi gari, uzuri wao bei yao iko poa na msimu huu vile uchumi wa Japan umeyumba wanauza bei nafuu kiasi
Hii ni chuma ninayo ya 2008 wala sijutii kuwa nayo comfortability+durability inajitahidi.. six gear simulation huwezi ifananisha na tako la ngedere toleo la mwaka 2008!!
Nilinunua mwaka2022 hadi leo hii haijawahi niletea kwere.. safari ndefu nakwenda nayo mara nyingi karibu kwenye Mitsubishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.