Leo 12.01.2024 na mimi najiunga rasmi, dua zenu kuna wakati nilijaribugi nilikua nadindisha ovyo kama kijana aliye balehe kumbe ni mtu mzima, kuna li dada flani hivi limebinuka lilikua limenizoea kukutana nalo tu ile nimedinda likanishika uboo kilichofuata akaharibu challenge, nikaende...
Tofali 45 kwa mfuko wa sement ya 42.5 standard ni sawa kabisa tena mafofali imara sana, issue hapo ni mchanga mzuri na kunyeshea maji ya kutosha basi, ubora wa tofali ni curing, mchanga bora na proper mixing basi,
Mi naona kama huyu Jamaa anaitwa Mshana amechanganyikiwa, anapost vitu visivyo eleweka vikaragosi na ni tofauti na maudhui ya uzi, sijui tatizo nini. Hata kama uzi aliuanzisha yeye lakn amekengeuka na ana matatizo
Sisi tuna kikundi cha vikoba, tupo wanaume 17 tu. tuna katiba na kila kitu kinajieleza, mpaka sasa tuna million 203, hatujavunja huu mwaka wa tatu, tunakopeshana kwa riba tunakutana mara1 kwa mwezi, binafsi nakiheshimu sana nikihitaji 5m nakopa nafanya mambo yangu, sijawali sumbuliwa na fees za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.