Sijawahi mkuu, ila napenda zaidi uhalisia, hata kama kujibebisha Kuna kiasi chake, Muda wa mapenzi ujulikane, muda wa kufanya mambo mengine ujulikane vilevile
Hao wanawake wanaolalamika lazima watakua below 25..... Too much childish in love, ila matured girls don't do that, ila pia sometimes Kuna sababu, labda ni kawaida Yao kuwa karibu Muda mwingi hata Kwa njia ya mawasiliano so inapotokea mtu aka mute ghafla lazima mwenzie ashtuke kidogo, so it's...
Huyo ni mke wako halali, uzinzi utakaotokea ndani ya ndoa ndo unaoweza kuwatenganisha, sio historia Yake ya nyuma, msamehe, mkabariki ndoa, mlee watoto wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.