Wadau kwa member yoyote anayejua namna ya kujitoa (left) kwenye hii forum... kwa ufupi jf imepoteza mvuto kabisa, jf siku hizi wanachagua thread na kuangalia nani katuma.. humu kuna watu wakileta hoja hoja zao zinaachwa hata ingekuwa haina mashiko itaachwa tuu na kuna wengine hawatakiwi kabisa...
Kwa hali ya sasa ya kisiasa nchini na matukio ya kutekwa, kufungwa, kuwekwa nguvuni, kujeruhiwa au kuuwawa kwa watu wanaotofautia kiitikadi/mtazamo na serikali kumeibua makundi matatu ya viongozi wa kiroho
Kundi la kwanza ni viongozi wa kiroho walioamuaa kukaa kimya na kuendelea na huduma zao...
Wewe ukiona Mange anakupiga ban hamia kwa humphley polepole utakuwa umemkomesha na waambie wenzako wote mnaomchukia Mange hamieni kwa Polepole mtakuwa mmemkomesha sana na mkiona insta kwa polepole kumechacha boresheni akaunti zenu mwenye shida atawafata.. kama ulivyosema Mange chizi mkiendelea...
Yaani unaongelea kitu ambacho hutaki kukijua we utakuwa mwehu manake ni vichaa peke yao ndio wanaongelea vitu wasivyotaka kuvijua.. itabidi uwe admitted milembe faster manake unaweza kunya barabara halafu ukajibu hutaki kujua kama umekunya
Usifananishe na utapiamlo wa bunge la tanzania... kama ungekuwa mfuatiliaji wa siasa za marekani ungekuwa unajua Obama alipambana sana kuiondoa hiyo sheria ya sasa hadi alilia bungeni kuomba muswada upitishwe lakini bunge lilimtosa ndio maana anawapa moyo vijana wafanye mabadiliko kwa...
Leo yamefanyika maandamano makubwa nchini Marekani yakiongozwa na vijana wadogo kupinga matumizi ya holela ya silaha huku wakitaka sheria kali ziwekwe juu ya umiliki holela wa silaha.
Ikumbukwe kuwa moja ya sera za rais wa Marekani Donald Trump ni kupambana kuhakikisha sheria ya sasa ya umiliki...
Professional code of ethics hazimkatazi mpokea mpokea huduma kumsifia mtoa huduma labda kama mwenzetu unaapply ethics anazotumia naibu waziri aliyesema wao enzi zao walitumia youtubu wakiwa lab
BBC News Swahili
menu
Kiongozi wa wanafunzi auawa kwa kupigwa risasi Kenya
28 Februari 2018
Sambaza habari hii Email Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Whatsapp
Image copyrightHISANI, FACEBOOK
Image captionBango la kampeni la Evans Njoroge
Kifo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.