Mwambie kimei aachane na haya mambo ya ajabu, kwenye Jimbo lake kijiji cha kiruweni toka mwaka 2000 tunataka umeme na haujafika. Haya ndo mambo ya kushughulikia
Umuhimu upo hasa ukizingatia kesi yenyewe ni ya Terrorism, Sasa kama mtu anaefanya uchunguzi kwenye kesi ya ugaidi haelewi hata hiyo maana yake si ni upuuzi tu
Mbona Kuna Askari wenu alijaribu kuleta mambo kama haya kule kwenye boda ya Jasini, Tanga. Ashukuru viongozi wenu wa County ya kwale walikuja kupiga magoti la sivyo angeliwa kiboga
Mi najua kiasi cha ukwasi Duniani tunarate kwa Dollars, lakin wabongo mtu akishika vibilioni kadhaa (Tsh) wanasema bilionea hahaha. Bongo mabilionea wanaofahamika ni wawili tu Mo na Rostam hao wengine ni milionea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.