Hawatabiriki mimi nilifanyaga interview mwaka jana December mpaka leo sijawahigi kuitwa for intern so inategemea na bahati yako si unajua corona iliingilia kati hpo so vingi vilikwama si ajabu ndo mana wengne hatukuitwa and transcript pia ni muhimu nenda nayo
Hiyo training ni wanafundisha tu interview techniques na jinsi ya kuandika cv and cover letters basi usihisi ni kazi ushapata hapo ni unapigwa training kama kawaida then badae ndo wanaeza kukuita ufanye interview yao then utaingia kwenye system zao ikitokea kazi ya kada yako wanakupangia nafasi...
Kwanza soma unachekipenda toka moyoni mana itakutanua akili katika nyanja nyingi ukiwa unasoma muombe Mungu akutangulie pia kwanini umeeka mitazamo mingi sana kwenye kuajiriwa why usfikirie na kuja kujiajir pia but sina maana mbaya wala kutaka kukukatisha tamaa but nikwambia coz na mm nilikua na...
Hello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
Barua ya kujitolea haina tofauti na barua ya kuomba kazi sfa na muongozo nk ule ule moja ya vitu muhimu ni uzoefu wako, nini utaifanyia kampunia kwa uzoefu wako, elimu yako, availability yako na vingne vya msingi.
Goodluck!!
Habari wanaJF
Nilikuwa nauliza je kweli unaweza kuipata kazi unayoomba kupitia hizi recruitment agency kama empower, brighter monday, top talented recruit na zingine? Maana utapeli siku hizi umekuwa mwingi nyingine utasikia utoe hela kwanza.
Kwa waliowahi kupata kupitia hizi naomba ushauri...
Habari zenu wote wanaJF.
Nimerudi tena hapa kuomba msaada tena kwa mara nyingine maana sijafanikiwa mpaka leo. Nimekuja kuomba tena naamini wapo wenye uwezo wa kusaidia serious ukiachilia hawa matapeli wanaojidai kuomba hela wengine wanatokomea kimya.
Mimi ni graduate nilimaliza mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.