vee15
Senior Member
- Aug 8, 2016
- 118
- 54
Habari zenu wote wanaJF.
Nimerudi tena hapa kuomba msaada tena kwa mara nyingine maana sijafanikiwa mpaka leo. Nimekuja kuomba tena naamini wapo wenye uwezo wa kusaidia serious ukiachilia hawa matapeli wanaojidai kuomba hela wengine wanatokomea kimya.
Mimi ni graduate nilimaliza mwaka jana nimesoma Business Administration (CBE) level ya Degree since then sijapata chochote mpak sasa.
Najua wengi mtanijudge na kusema bado mapema ila tunatofautiana hali za maisha wengine changamoto ni nyingi ndio maana tunahangaika zaidi.
Naomba mwenye kujua au kuweza kunisaidia organization ama NGO ambayo naweza nikajitolea ama nikapata internship ya muda walau nipate experience kwa nilichosemea nitashukuru sana.
Asante sana.
Nimerudi tena hapa kuomba msaada tena kwa mara nyingine maana sijafanikiwa mpaka leo. Nimekuja kuomba tena naamini wapo wenye uwezo wa kusaidia serious ukiachilia hawa matapeli wanaojidai kuomba hela wengine wanatokomea kimya.
Mimi ni graduate nilimaliza mwaka jana nimesoma Business Administration (CBE) level ya Degree since then sijapata chochote mpak sasa.
Najua wengi mtanijudge na kusema bado mapema ila tunatofautiana hali za maisha wengine changamoto ni nyingi ndio maana tunahangaika zaidi.
Naomba mwenye kujua au kuweza kunisaidia organization ama NGO ambayo naweza nikajitolea ama nikapata internship ya muda walau nipate experience kwa nilichosemea nitashukuru sana.
Asante sana.