Naomba mwenye uelewa anisaidie nataka kuanzisha biashara km ilivyoelezw hapo juu je n hatua gn z kufata? Je changamoto zkoje? Na faida zkoje? Kwa maana comission zkoje?
Naomba mwenye uzoefu na biashara ya uwakala wa bank na huduma nyingine za kifedha kama M-pesa nazingine naomba kujua mtaji wa kuanza nao na makadirio ya faida ambayo hupatikana kwa mwezi.
Naomba msaada sababu nina tatzo la kuongezeka kwa nguvu za kiume kupita kiasi.
Yaani nakuwa na nguvu nyingi za kiume kupita kawaida.
Please naomba msaada.
natafta laptop aina ya DELL au HP nina 200,000 iwe ktk hal nzur HDD kuanzia 150gb na kuendlea RAM 2gb iwe inakaa na chaj ila isiwe DELL 600 na 610 npo kahama shinyanga mwenye nayo antafte kptia 0676258176 au 0769752425
Naombeni mnisaidie hivi hii facult ya public relation and marketing inahusika na nn? na ajira zake zikoje? na zinapatikana wapi? na nafasi zake zinatoka kupitia vyombo gani vya habari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.