Serikali ya Kenya imeondoa kodi kwenye gesi ya kupikia majumbani ili kuongeza matumizi ya gesi ili kumpa mwananchi unafuu wa gharama za maisha kwa wakenya na kulinda mazingira.
Zaidi ya hayo bwana Uhuru Kenyatta ameondoa kodi ya VAT kwa watalii wanapoingia hifadhini, kodi ya malighafi za...
Kule pakistan,kuna kabila moja ambapo utamaduni wake ni kwamba ukitaka kuoa mke wa pili sharti ujaribiwe kama unaweza ku''handle'' wake wawili.
zoezi litolewalo ni kubeba jiwe kama hilo lenye kilo takribani 40 kwa lisaa limoja. ukifaulu basi unaruhusiwa kuongeza mke
nlikuwa namwomba bunge...
habari wana JF,
naomba msaada mwenye kumfahamu fundi/mahali napoweza kupata hudumaya kutengenezewa Flat screen yangu kwani imepasuka kioo.
aina ni LG Inchi 32'.
natanguliza shukrani
Maendeleo ya sayansi na teknolojia bana yanakuja na faida na hasara nyingi pia. Kumekuwa na mada yenye uvutano wa hali ya juu ktk jamii kwamba ADHABU YA VIBOKO INAFAA AU HAIFAI kwa malezi ya watoto? nimebahatika kuishi nje ya nchi(states) kwa muda japo mfupi. Sera zao kule ni kwamba watoto...
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!
Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp...!
_Hello...
pengine ukiulizwa binadamu maskini kuliko wote duniani,moja kwa moja ungevuta picha ya omba omba wa barabarani pengine au maskini walioko vijijini n.k
lakini ukweli ni kwamba hao si maskini kuliko wote duniani. rejea hesabu za hasi na chanya. je kati mwenye 0 na mwenye -10 nani mwenye...
Daaaaah juzi kati bana nilipata dharura nikaibuka jijini DSM na nikafikia kwa jamaa angu tuliesoma wote miaka ya nyuma. sasa kwakuwa safari ilikuwa ya ghafla nilienda kwa jamaa bila ya accesories muhimu kama power bank na chaja.basi ikawa hivi
mimi: mzee naona simu inakata moto niazime chaja...
Ni uamuzi wa kushangaza sana kulazimisha watoto wasome masomo ya sayansi eti ili kuleta Tanzania ya viwanda. Kumbuka kwamba kuna mipango ya muda mfupi na ya muda mrefu.
Mtoto wa form II kusoma sayansi ni ili kuleta mabadiliko ya viwanda ni mpango wa muda mrefu kwani hadi 2025 ndio atakuwa...
Habari wana JamiiForums.
Kwa uzoefu mdogo nilio nao ngoja leo niache uvivu na niyaongelee majiji mawili makubwa na pendwa hapa Afrika mashariki yaani DAR ES SALAAM NA NAIROBI. Nitayaongelea majiji haya katika vipengele vichache kwani nimebahatika kuishi katika majiji yote kwa muda Fulani hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.