Na imani wazima ndugu zanguni.
Kama kichwa cha habari Hapo juu kinavyojieleza. Nimepata taarifa kuwa Matokeo hayo yametoka tangu mwaka mpya. Lakini nimeangalia sehemu mbali mbali ikiwemo blogs na web ya necta hamna kitu.
Tafadhali mwenye kunitoa matongotongo juu ya hili, anitoe waungwana...
Naimani mu wazima wana JF.
Natumia Huawei Y336, nashindwa ku upload picha na video zilizopo kwenye memory card JamiiForums. Lakini social network zingine kama fb, whatssup, n.k inakubali.
Wataalamu mnisaidie, je ni tatizo la simu, au sizijui settings za kufanya? Au nini hasa?
Ahasanteni
Naimani mu wazima wanajf. Natumia huawei Y336, nashindwa ku upload picha na video zilizopo kwenye memory card jamii forum. Lakin social network zingine kama fb, whatssup, n.k inakubali. Wataalamu munisaidie, je ni tatizo la simu, au sizijui settings za kufanya? au nini hasa? Akhasanteni
Mods naomba musiunganishe huu uzi na wa majina ya walimu wa ajira mpya! hapa naomba iwe sehemu ya walimu wenyeji kuwakaribisha wageni, ikiwezekana na kuwapa A, B, C za shule wanazoenda kufundisha. Naomba mwalim mwenyeji ukomenti shule yako na mawasiliano yako au utoe maelezo kidogo ya kata na...
wazima humu ndgu? kama title inavyojieleza, mgonjwa wangu kaambiwa ana kivuli upande mmoja wa moyo ambapo doctor anadai ugonjwa huo ni TB ya moyo. kuna zahanati moja hv jina naihifadhi ambayo ni binafsi, ndiyo hayo ameambiwa. Najua humu kuna wataalamu, naomba kujuzwa zaidi juu ya huu ugonjwa...
FAIDA ZA DINI NI ZIPI?
Zipo sababu nyingi zimfanyazo mwanadamu ahitaji Dini.
1. Sote twajua kuwa mwanadamu ni mnyama ahitajiye kuishi kijamii pamoja na wenzake. Kila mtu anategemea mamilioni ya watu wenzake kwa maisha yake na kwa mahitaji muhimu ya hayo maisha yake.
Pia tunajua kuwa kila...
kama title inavyojieleza. Kufahamiana si vibaya, tujisocialize kidogo wana jf. Muliopo Dumila, Kilosa- Morogoro tufahamiane hapa. Karibuni Mtaa wa bombani karibu na police station
Nimeona familia nyingi za kitanzania, wazazi wakiwasisitizia watoto kuitika katika moja ya miitikio hapo juu. Utakuta mtoto wa kiume akisisitizwa kuitika " naamu" anapoitwa, na mtoto wa kike kokokotezwa kuitika " beee" Imefikia hata baadhi ya wazazi kutumia nguvu nyingi ili watoto wao waitike...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.