Habar za ucku wakuu
Kwanza natoa pole kwa wahanga wa Tetemeko la ardhi tupo pamoja na ninyi hata kwa maneno ya faraja naamin mtashukuru
Jaman nina jambo la kuwashirikisha
Ni hivi kila ninapo mpenda bnt mrembo huwa sikataliwi yaan sijawahi kusimama nao live na kuwapa maneno sumu bali huwa...
DADA ZANGU NI VIZURI KAMA
MKIYAFAHAMU HAYA..!
[emoji117] Mwili wako sio Maonesho, kila
mwanaume auone.
[emoji117] Mwili wako sio Mdoli kila
mwanaume Auchezee.
[emoji117] Mwili wako sio dampo, upokee kila
uchafu wa mwanaume.
[emoji117] Mwili wako sio Mali ya umma kila
mwanaume akutumie...
Habarin wakuu
Karibuni Eid nyumbani kwangu!
Maelezo mafupi ili ufike kwangu
Panda gari hapo ubungo! Ni mwendo wa masaa ma4 then ukishuka msamvu stand moro unapanda dalala nauli 400 unashuka mjini unapanda bodaboda nauli 5000 unashuka mlima uruguru, then unatembea masaa ma2 utakutana na usafiri...
Yaani leo nimepata tabu sana mara baada ya mrembo flani hivi amazing kuja kukaa siti moja safari tulikuwa tunaanzia Masasi hadi jijini Dar. Aisee akiacha mtoto nyumbani unaweza kukataa kama amezalishwa na ni mama wa mabinti wawili.
Basi safari ilipo anza sikutaka kujifanya kipofu kumuona tausi...
Kiufup nyumba za kupanga zina majaribu ya kila aina ila ya huyu mrembo nahisi kaninasa tayari maana binti utadhani ni pacha wa merimeta vile.Ila boy anae date nae kwa kuiba ananitishia life bila kujua na mimi ni mkatili.
Mtoto anapenda swaga zangu maana kidume nna sauti nzito ya kumtoa unyevu...
Habarin
Huwa nainjoy xn kuona post mbali mbali
Japo nachangia kwa kutoa maon yng bt kuna tatizo ambalo lina nikumba hasa nilipokuwa nataman nipost new topic
Hasa ktk upande wa Love story
Inanionesha ime fail
Or ni use character 100 or fewer aisee sijui mtanisaidiaje maana nna topic kibao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.