Nina swali, Mwanandoa mmoja akipeleka shauri mahakamani la kutaka talaka na court wakamwita mwenzake na asihudhurie mahakamani zaidi ya mara tatu, Mahakama uchukua hatua gani?
Kweli kabisa.... Pia achana na simu banking nikimaanisha usiwe access ya haraka ya kutoa pesa.Mimi ATM kadi yangu ili expire, sija renew ,pesa ikiingia huko mpaka niitoe nipange mstari so uwa naiachaga tu nategemea mishe zingine
Usi mind bro! Mimi toka kitambo O Level wananiita faza, Brother mkubwa....Respect tu za wana wa mtaa wowote nikiwepo cuz popote nikiingia nna ushawishi mkubwa....kuanzia kwenye timu yetu,mi captain! Kishule shule kiongozi...na mtaa ulikua unanielewa
Anakula sana bangi,thus why ukilima shamba la bangi na akawa anashinda humo,anakuriri hakudhuru ila sasa aingie mwizi kuiba atamshughulikia. Ni mlinzi mzuri
Koboko wanapogombana na mmoja akazima,aliebaki uwa kuna majani anaenda anayatafuna na kuja kumwekea mwenzie aliezima ili aamke waendelee na mtanange...sema anapoenda kuyafata hayo majani huwa makini asionekane na mtu,kwasababu nasikia ni dawa pia kwa binadamu akiumwa na koboko.
Koboko sio mgomvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.