Sifa za kujiunga mkuu.Mkuu hii kozi Ni moja kwa moja ajira Na wizara ya Afya Kwan Kila Hospital wanatakiwa kuwepo kada hii kulingana Na muongozo wa wizara ya Afya (Ikama 2014-2019) ya Wizara ya Afya.
Kaka kozi ya Bionedical technology kwa hapa Tanzania chuo gani kinatoa.kwa sabanu hii kozi Ni market Sana.Tafazal naomba jibu Kuna Mdogo wangu anataka Sana kusoma hii kozi.
Mimi nimepitia CV yako Ni kweli Kama wanadau wanavyoelezea haina mashiko.Fanya mabadiliko ktk kipengele cha Elimu anzaa ya juu kuja elimu ya chini.Pia ktk referee haipo vizuri Na nini unaweza kufanya kwa mfano ktk sehemu uliokuwa unafanya field elezea kazi ulizokuwa unafanya.Zaidi unaweza...
Naomba ufafanuzi namna ya kupata line hizo Na faida zinakuwa vipi kwa mfano ukiwa unamtaji wa 1,000,000 Na Unao wateja wakawaida wakutoa Na kuweka kwa mwezi commission unaweza pata kiasi gani?.
Habari wakuu wangu!.Kuna anefahamu chuo kinachotoa kozi ya Master ya Research,monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania,Kenya au Uganda.Kama Kuna mtu anafaham anifahamishe tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.