In the haven of peace, Azania stand at ease.
To awaken,strengthen,to feed our hungry minds.
You are known far and wide,you are always our guide.
We will never forget you.
Beti ya kwanza hio
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu waache ujinga wa kumpambanisha Zuchu kwa sasa na wasanii walio mtangulia na wakafanikiwa zaidi.
Nandy hadi kufikia hatua ya kufanya Music Tour yeye mwenyewe ni ukosefu wa nidhamu kumlinganisha na mtoto mgeni kwenye sanaa.
Wasubiri akomae kwanza ndo wamlinganishe.
Sent using Jamii Forums...
Abdul Mohammed alikua GS bora zaidi Azaboy na alikua anatangaza EATV wkt yupo shule akaja kupata deal BBC London...nilimkuta akiwa form 4 wakati naanza form 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Education Excellence and Sportmanship
[emoji2][emoji2] sijui niko sawaa hapo! Ila nakumbuka tu school song
"In the haven of peace,
"Azania stand at ease....."
Azania Sec.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawachukia sana watu wanaosema "Tanzania ni nchi huru" wakati waTZ wenyewe hatupo huru ndani ya nchi yetu. Kila mwenye kuona ovu akalikemea ataitwa msaliti na hii ndo inayopelekea maovu yote kufumbiwa macho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusiisemee Kenya kwa mauaji ya hovyo ikiwa hapa kwetu watu wanachinjwa hadi familia nzima,wamama wanaua waume zao kikatili,nyumba zinachomwa moto zikiwa na watu ndani,watoto wadogo wanauliwa kinyama na watu wanatupwa kwny viroba bila idadi kamili.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwangalingimungu, Uchambuzi mzuri na wenye kuonyesha mambo ya msingi kwa kila mwana simba kuyafikiria na kuyatilia maanani ili wakati mwingine wazoee hali yoyote ya matokeo katika mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kila anaefikishwa mahakamani basi lazima atakua na kesi ya utakatishaji fedha [emoji2][emoji2] inaonekana kweli pesa imekua adimu sana hadi watu wanafanya uhujumu uchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.