Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda...
Kuna binti nimewahi kuwa na mahusiano nae nilimuacha kwa sababu ya baba yake. Yule binti ukishinda nae siku nzima anamiongelea baba yake tu. Ilifika sehemu nilichoka hadi nikaanza kupata hisia mbaya dhidi ya baba yake nikaamua kumuacha kabisa.
Wakuu mimi nafikiria mwaka huu nifike huko ila lengo nifike maeneo jirani na mlima sehemu ambazo nitapata view nzuri ya mlima. Nipo na watoto so sihitaji kupanda mlima. Ni maeneo gani mazuri
Hela anapata mikoba(kondakta) mimi ilibidi niwe kimakakati sana. Ikifika saa 4 natoa buku 5 naweka kwenye kamfuko ka jeans kale kadogo. Saa 10 naweka tano tena. So jioni kwenye mgao wa posho nakuwa nmemtangulia dereva kwa 10,000. Nakama unavyojua kwenye mgao kondakta anapata kidogo na dereva...
Ile kazi ni ngumu sana kaka hasa kwa mazingira ya dar es salaam. Kondakta anasimama siku nzma,matusi ya abiria,usumbufu wa trafki nk. Ila kwa kipindi nafanya hii kazi hela ilikuwepo nilisave sana hela nakumbuka kila wiki nilikuwa naweza kuweka benki 150,000. Kwa tuliosoma soma kidogo kufanya ile...
Nilifanyakazi ya ukondakta kwenye daladala bagamoyo to mwenge nikiwa na digrii yangu ya Marketing. Nakumbuka siku ya kwanza tumeamka saa 10 alfajiri picha linaanza vituo sivijui coz dar nilienda tu kutafuta kazi baada ya kumaliza chuo. Nikasota kama miez 8 hakuna cha maana nafanya ndio nikaamua...
Habari wadau,ninaplan ya kutembelea mlima kilimanjaro mwaka huu. Nitakuwa na familia so sidhan kama nitapanda mlima ila nataka kujua sehem gani nitaweza kuona mlima vizuri,sehemu yenye hotel au lodge nzuri na gharama nafuu na pia sehemu nitakayoweza kupiga selfie kali kali[emoji12][emoji12]
Angalia video ya mchngaji (R.I.P) Dr Myles Munroe anaeleza kwanini wasiowacha Mungu ni matajiri na wakristo ni masikini sana. Kwa kifupi anasema sali sana ila fanyakazi. Uwe na shughuli ya kuingiza kipato ukiwa kanisani unasali Muombe Mungu aibariki kazi yako,akuletee wateja nk sasa wakristo au...
Its simple bro,kwa jeans nunua zile original ingawa ni bei kali. Zipo hadi laki moja kwa jeans moja au tshirt 50,000. Pili kuwa na nguo nyingi ili usirudie sana nguo na hence usifue mara kwa mara. Tatu nguo kama jeans haifuliwi mara kwa mara kwa mwaka iwe hata mara 4 hadi 5( uwe nazo nyingi)...
Kuna niliyenae anatoa vyote kwanza cream then nikipiga terero ndio mafuriko. Mwingine huyu ni wa singida huko mweupe kama mbaramwezi,hana antena(amekeketwa)ila anasquit balaa hapa ndio wataalamu niambien hivi antena(knembe) hakihusikia sana hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.