Search results

  1. M

    Zoezi la Urasimishaji wa Ardhi - namna zuri ya kuliongezea uharaka na ufanisi

    Nafikiri kwa mchakato wa sasa mwananchi anatakiwa kuchangia kati ya Shs. 150,000 na 250,000 zoezi linafanyika kwa eneo kubwa kwa pamoja.
  2. M

    Zoezi la Urasimishaji wa Ardhi - namna zuri ya kuliongezea uharaka na ufanisi

    UTANGULIZI: Kwa muda sasa serikali imetangaza kuendelea na zoezi la urasimishaji ardhi kwa maeneo yasiyopimwa (squatters). Kufanikisha hilo, serikali imekuwa ikishirikiana na makampuni binafsi ya ardhi kufanya sehemu kubwa ya kazi hizo. Watu katika kampuni hizo wanalipwa kutoka kwa michango ya...
  3. M

    Mitandao ya simu, vinga'amuzi igeni Tanesco kwa faida ya umma, mawaziri na regulatory authorities tupeeni macho

    Nafikiri hii ni hoja ya msingi, ingawa baadhi yetu tumekwenda moja kwa moja kuipinga na wengine kumshambulia mwandishi. Ni jambo linalowezekana kabisa; kwa mfano, DSTV unaweza kuwapigia simu leo kuwaomba wa-stop consumption ya bundle yako kwa muda fulani ukiwa unafahamu kwamba hutatumia kwa huo...
  4. M

    Chaguzi ndogo na "ujinga" wetu watanzania

    Nakubaliana na msingi wa hoja yako. Nafikiri suala la uchaguzi na demokrasia limekaa kisiasa zaidi; kwa sababu ni muhimu kwa wananchi kuamini kuwa mtu anayewaongoza ama anayewawakilisha ni chaguo la wengi - hiyo inasaidia kwenye suala la amani/utulivu pia. Tukipata njia ambayo itasaidia kufanya...
  5. M

    Rais Magufuli amteua Innocent Bashungwa kuwa Waziri wa Viwanda, Edwin Mhede kuwa Kamishna Mkuu TRA

    Kwa maoni yangu; TRA wanatakiwa kufanya mambo makuu matano (5) ili kuleta tija zaidi kwenye utendaji wao: Wabadilishe mindset waliyo nayo juu ya wafanyabiashara na biashara Kwa sasa hii ni general mindset waliyonayo TRA:- 'wafanyabiashara wote wanatengeneza faida na ndio sababu kubwa ya wao...
  6. M

    Waziri wa Viwanda Biashara, Charles Mwijage amtumbua Mkurugenzi wa BRELA, Frank Kanyusi

    Sifahamu sababu zilizopelekea kuondolewa kwa mkurugenzi, ila kwa upande wangu nilipenda sana utaratibu wa Online Registration. Ni taasisi iliyoonyesha mfano wa ni jinsi gani vitambulisho vya taifa vinaweza kutumika kupunguza urasimu. Suala la watu kutopata vitambulisho kwa wakati ni tatizo la...
  7. M

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    DAWASCO ; Kwa muonekano huu wa kuchelewesha kujibu hoja za wateja, inaonyesha hii Special Thread haijakuwa assigned kwa mtu specific wa kushughulikia kujibu kero za wananchi. Kama mmenuia kutumia njia hii kuwa karibu na wateja wenu, ni vyema mkamu-assign mtu 'informed' wa customer service awe na...
  8. M

    Habari na Mawasiliano – Taaluma ambayo kama ikitumika vizuri na kwa usahihi ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya nchi

    “Hizi ni zama za ukweli na uwazi”- iliwahi kuwa kauli mbiu katika kipindi awamu mojawapo ya serikali iliyowahi kutuongoza. Hapa hatutajikita kuchambua hiyo serikali na wanasiasa, bali tutazungumzia neno uwazi - ni kwa jinsi gani linaweza kuwa kichocheo cha maendeleo ya kasi katika nchi. Kwa...
  9. M

    Madhara yanayosababishwa na mashimo ya barabarani - nani wa kulaumiwa/kuwajibika?

    Natumai wengi wetu tunafahamu tatizo la mashimo ya barabarani ambalo linakuwa kubwa zaidi vipindi vya mvua. Kwa wale wasafiri wa mikoani, nako pia tumeshuhudia barabara kuu zikiwa nashimo mengi sehemu zisizotarajiwa. Sehemu nyingine mashimo yanakaa kwa muda mrefu na kuendelea kusababisha...
  10. M

    Sirari: Wananchi wakusanyika kituo cha Polisi baada ya Polisi kudaiwa kumuua mdogo wake John Heche, Suguta Chacha

    Wanasheria wanakuja mahakamani mkuu. Kama kesi za mauaji hatuzioni zikipelekwa mahakamani hakuna suala la kisheria hapo; ni aidha upelelezi dhaifu, kudharau mtu/watu waliofariki, uzembe, ama kukosa utashi/'guts' ya kumshtaki aliyehusika. Sioni kama tunahukumu au kuchochea chuki; tunawakumbusha...
  11. M

    Sirari: Wananchi wakusanyika kituo cha Polisi baada ya Polisi kudaiwa kumuua mdogo wake John Heche, Suguta Chacha

    Kwa namna yeyote ile, si sawa kukatisha maisha ya mtu kwa kumuua. Hata uwe askari, mwanajeshi, usalama wa taifa ama raia wa kawaida. Hilo swala ni la kulaaniwa vikali na jamii yote. Huyo aliyeuawa ni mwanadamu kama nilivyo mimi na wewe, ana watu na jamii inayomhusu - hakustahili kukatishiwa...
  12. M

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    THREAD IMELALA SANA DAWASCO. Ni bora muifunge kama hamkujipanga kuitumia kuwafikia wateja. Kama kuna pesa munailipia, basi ni matumizi yasiyo na tija.
  13. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kazi nzuri TANESCO. Mumekuwa responsive sana katika swala nililoripoti humu. Niliwatumia ujumbe jana asubuhi na jana hiyo hiyo mlinipigia na mafundi wakafika na kurekebisha tatizo. Nawapa 5 stars. Endelezeni huo utamaduni.
  14. M

    Value Renention Fees ni wizi wa dhahiri wa Bodi ya Mikopo

    Asante kwa mchango mzuri. Ila bado nimebaki na maswali kadhaa: Iko sawa kuanza kuichaji hata kabla mwanafunzi hajamaliza masomo yake? Kwa nini wasingetoa grace period ya kutafuta kazi, then mkopo unapokuwa deni ndo waweke assumption ya value retention? Vipi kuhusu kuweka hilo swala wazi...
  15. M

    Value Renention Fees ni wizi wa dhahiri wa Bodi ya Mikopo

    Habarini wana jamvi wa Jamii Forum… Bodi ya Mikopo imekuwa ikijinasibu kuwa inatoa mikopo isiyo na interest kwa ajili ya kusomesha watoto wa maskini. Lakini kwa utafiti mdogo nilioufanya, nimegundua kuwa mikopo inayotolewa na bodi ya mikopo ina riba iliyofichwa kwenye jina la value retention...
  16. M

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Msingi wa kuahirishwa kura ya maoni ilikuwa kupisha uchaguzi mkuu. Lakini si mbaya kuwa na matumaini chanya ya kufananisha mchakato wa katiba na msingi wa nyumba. Inawezekana likawa tayari limewekwa kwenye mpango wa serikali wa miaka mitano (ama kitu kinachofanana).
  17. M

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Kwani kura ya maoni ya kuipitisha katiba mpya imewekwa kwenye bajeti ya serikali Ya 2016/17..?? Kama haijawekwa basi hoja ya matumizi yasiyo na tija itakuwa na msingi.
  18. M

    Serikali kubana matumizi zaidi, sasa kuunganisha taasisi zote zinazofanya kazi zinazofanana

    NAOT + PCCB + PPRA + FIU = NAOT (Independent institution)
  19. M

    Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni

    Kikweli siwezi kupingana na maamuzi ya wizara /serikali maana wanajaribu kutekeleza jukumu lao la kutunza maadili ya taifa. Ila mimi binafsi niliipenda ile video, na kwa maoni yangu nashauri serikali iboreshe mfumo wake wa censorship kwa hizo kazi za sanaa. Kwenye jamii ya Tanzania kuna watu wa...
  20. M

    Kikwete aandika Historia katika kulifanya Jeshi la JWTZ kuwa la Kisasa

    ndo maana tuna taaluma tofauti. kama wewe ni mtaalamu wa takwimu na umeshafanya ranking yako iweke hapa na ufafanuzi wake. Mpaka sasa tutaendelea kusoma ripoti zilizopo. Ama kama unaijua iliyoirank TZ juu ni vema ukaweka kuliko kuishia kudiscredit kazi za watu wengine.
Back
Top Bottom