Sasa nawewe unaamini mtu poa kabisa, Gardner awe anapata deals nyingi,anasaidia watu,ashindwe kujitunza na kumtunza mwanamke?
Aisee... jamaa hata hivyo alikua anaonekana ni mpole in nature,sidhani baadhi ya mambo ya kwenye nyimbo kama yalikua yanamhusu na kuonyesha yuko poa,alikua anapiga nyimbo...
Yule sijui ndugu yake, mtoto wake aliwahikulipiwa ada milioni tatu,useme huyo Gardner alikua analelewa....?
Moja ya watu walionimalizia MB ni pamoja na Gardner,amenihuzunisha sana.
Kuna intavyuu za kutisha tu,Gardner kaeleza alikua anapata mshahara tena mkubwa,angekuaje mwanaume kama mabinti?
Gardner alikua mtu poa sana,watu wanasema tu.... ilimradi kusema.
Sidhani kama kuna kipya hasa kwa mtu ambaye mmekua kwenye mahusiano toka sekondari,mkakutana chuo,mkapanga chumba kimoja,mkawa mnaishi kama mke na mume,miaka mitatu au zaidi,halafu mje muoane,sidhani kama kuna kipya.
Hadi Sasa kwenye duru za siasa za Tanzania bara, January Makamba anaonekana ndiye mtu atakayemrithi Samia,jamaa watu wamempigia kelele akiwa nishati,akahamishiwa wizara ya mambo ya nje kimkakati,akitoka huko... anajua mikakati yote,ndani ya chama,ni kutekeleza tu kuingia Ikulu.
Sasa itatufikiaje wote ilhali kwenye kazi kama hizi,unakuta mtu ana ajira ya kudumu serikalini halafu unakuta kapanga foleni kwenye ajira hata hizi za ambazo sisi jobless tunaona zinaeeza kutu-boost?
Muda mwingine tunalaumu waheshimiwa kurundikiwa vyeo,kumbe na baadhi yetu tuna hulka hizohizo tu.
Acha kua myopic,huoni wasio na ajira ni wengi,kwanini wasizingatiwe?
Nyie ndo mkipata madaraka mnataka kila kazi mfanye,pasipo kufanya kitu kinaitwa mgawanyo wa majukumu.
Tena wao walio na ajira ndo ambao wataharakisha kutoa rushwa,ili watendaji wawaweke,ukizingatia na mshahara utakua umetoka,sisi jobless tunabaki kung'aza macho tu.
Inasemekana anawekewa vikwazo asiwe padri kwasababu alizaliwa Msumbiji,ilhali elimu yake yote kaipatia Tanzania na ameongoza vema taasisi zote alizokabidhiwa kuziendesha.Nadhani ni roho mbaya tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.