Nedd Ludd
Senior Member
- May 16, 2023
- 136
- 245
- Thread starter
- #21
Sio kwamba sitaki waombe, ni maoni yangu tu wangeangaliwa wasio na ajira.Mkuu hutaki walimu waombe?
Huku nje MTU anafanya hadi kazi tano ili ajiongezee kipato.
Cha muhimu hakikisha unakuwa MTU bora Sana Ila usiogope stiff competition
Opportunity is always there.