Hatasiku moja inchi inayo ongozwa na Muuwaji kama KAGAME, itakuja kupata utulivu. Uchumi wa Rwanda unakuwa kwa wizi wa Madini na Mauwaji KAGAME na wapumbavu wenzake EAC, wanafanya DRC congo. Tokea 2005 hadi Leo nizaidi ya watu milioni 6 wame uwawa na kagame huko DRC congo
Wanawake wakizazi kipya!! Hapo hapakuwa mapenzi yakweli. Inamaana hata ingetokea jamaa kazi anafukuzwa, uyo mwanamke angesepa tu, ao kuanza kuchepuka. Mama zetu wameolewa na wanaume wasio faham maisha yao kazi zao. Walikuwa wanakabiziana. Baba wa mwanaume anakwenda kwao na mwanamke, wazeeh...
Kwakumalizia.... Mapenzi yapo sehem yote. Ila kusema ukweli yale mapenzi wanayo igiza kwenye Movies zaki korea hayapo Dunia nzima. Kwanza huko inchi zilizo endelea wanajifanya wana haki za binadam (haki sawa) wanawake kwa wanaume. Sehem kama iyo haitakuja tokea eti wana mapenzi ya kweli... Ni...
Mapenzi yapo kwa njisia zote.... Ila kutokana na taifa latlinaitajisi lijengwe na likuwe kwa haraka, ningeshauri kwa vijana, Movie zenye history za mapenzi mapenzi tuwaachie wanawake. Zipo movies zakuangulia hadi unajengeka kifikra na kiroho. Seson kama PRISON BREAK, LOST, 24HOURS... japo...
Nimuhimu ila inategemea....raha ya mapenzi nikupeana na kusaidizana. Sio kwasababu mimi ni mwanaume ndo unikomoe kwakuni piga vibomu, wakati sisi wote tunafanya kazi. Ikitokea nakupa nawe pia unatakiwa unisameh wakati mwengine
Nimekuelewa vizuri saana, na iyo Kampuni inapatikana wapi mkuu. Mimi kulipia iyo 40% sijakataa ilimradi nipate gari nilizo taja hapo juu. Hata 50% nipo tayari. Kampuni ganu hiyo. Ebu nielekeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.