Huyu kijana anajiweza katika usomaji wa michezo star tv,binafsi napenda navyotamka maneno kwa ufasaha,kujiamini,kuwa easy,matumizi ya lugha ya mwili lakini pia mbwembwe zake..anazichungulia anga za kimataifa katika utangazaji
Ni moja kati ya watangazaji chipukizi wa tv nchini na anajitahidi lakini sipendi tabia ya star tv ya kuwapanga watangazaji katika vipindi mchanganyiko mara sports news,mara tuongee asubuhi,mara miziki,mara kusoma hard news huyohuyo.....
hivi kati ya huyu jamaa na ferre gola nani mkali zaidi katika kutunga,kuimba,kucheza,nidhamu,uwajibikaji,kuudumisha muziki wa bakongo,kushambulia jukwaa,mavazi,uongozi mzuri wa bendi,uchangamfu,mafanikio nje,ndani ya afrika???
Hivi karibuni japokuwa sikumbuki ni mwaka gani lilifanyika shindano kubwa tu nchini na likiwashindanisha wabunifu wote wa mavazi,LENGO likiwa ni kupata vazi la kitaifa...hilo halijawezekana mpaka sasa na sijui litawezekana lini.....likaja kichwani mwangu swali ambalo si tu huwa najiuliza mie...
Nimefuatilia kwa karibu sana mchakato na fukuto lililopo nchini hivi sasa na kugusa hisia za karibu kila mtanzania mpenda maendeleo na demokrasia..nikiwa kama mdau mkubwa tu katika maendeleo ya kitaifa nimefanikiwa kufanya mahojiano kibao tu...safi sana..lakini nikirejea hili kongamano la leo la...
hii iatokana na ukweli kuwa baadhi yao wanashindwa kabisa kufuata maadili na misingi ya usomaji ikiwa ni pamoja na kuwa biased,kutokuwa na ufahamu wa michezo na matamshi mabovu..karibuni
Nawashangaa sana watangazaji hasa wanaojiita wanamapinduzi wa muziki a kizazi kipya ama bongoflava...hivi kwanini wanawalazimisha mashabiki wa kitanzania wauamini na kuupenda muziki huu kwa kuamini kuwa eti ndo muziki ulio juu zaidi ya miziki mingine kama dansi,taarabu,kwaya,bakurutu n.k??hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.