Hapana, mashamba makubwa ya chai nchini yanapatikana Mufindi, mkoani Iringa ambako asilimia 90 ya chai yote inayozalishwa Tanzania na kutumika nchini hupatina na pia kuchangia asilimia 60 ya chai yote inayouzwa nje ya Tanzania
Mmenikumbusha mbali mno ! Mungu aiweke roho ya marehemu Kyanga mahali pema peponi. Hawa jamaa walikuwa ni sehemu ya familia yangu hata kuibuka na "LUPEMBE NISEMEE NA IMMAa"
PM wetu ni mwaadilifu na mkweli anayejali mno wananchi-tatizo ni mfumo. Watendaji wakuu wote wanateuliwa na Rais na wanawajibika kwake; yeye afanye nini ! Halmashauri zetu anazijua mno na wengi wa watendaji wake wakuu alishatamka kwamba ni wabovu na wabadhilifu lakini kuwawajibisha ni tatizo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.