Habari za mda huu ndugu zangu wana JF. Nahitaji msaada kutoka kwenu wadau wa elimu. nina wadogo zangu wawili wako mwanza mmoja anasoma kidato cha pili na mwingine anasoma kidato cha kwanza.
Kumetokea matatizo ya kifamilia ambayo yananilazimu mimi niwatafutie uhamisho waje kusoma dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.