HAPPYLIFE COLLEGE chenye namba ya usajiri IAE/05/0311
Kilichopo Mkoani Arusha
Kinawatangazia wahitimu wa darasa la 7, kidato cha nne na kuendelea nafasi za masomo yatakayo anza tarehe 23/09/2019
KOZI ZITOLEWAZO
1, HOTELMANAGEMENT. (kwa kidato cha nne na kuendelea)
2, TOUR GUIDE (kwa kidato...
Habalrini wna jf :(
Kwa yeyote yule aliyechaguliwa chuo cha ualimu Kitangali kilichopo Mtwara naomba tukutane hapa tufahamiane na pia tujuzane mengi kuhusu masuala ya chuo.
Ahsanteniiiiiiiiii:D:rolleyes::oops:
Wana JF naombeni msaada naombeni mnitajie vyuo vya ualimu wa msingi vya serikali vinavyopatikana mikoa ya Kilimanjaro au A r u s h a kwa mwenye kufahamu
Habarini wakuu,
nina bro wangu amemaliza kidato cha 6 na ame fanikiwa kupata matokeo
PHY E
CHEM D
MATH D
G.STUD S
amefanikiwa kupata chuo kwenda kuanza degree lakini daaa! bahati mbaya pesa ikawa ndo mtihani
kwahiyo anaomba kama kuna kazi yeyote hile iwe ya harali kama kuna mtu anaweza...
Wana msaada wenu hapa, kuna dogo alichaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu kwa mwaka wa masomo 2016/2017, baada ya kuchaguliwa akakipigia simu kile chuo kwamba kimtumie joining maana hata website yao ya chuo walikuwa wameificha haipatikani prof,sasa ayo majibu aliyojibiwa kutoka chuoni na mkuu wa...
Best wangu mmoja amemaliza mtihani wa kidato cha nne mwaka 2015 amepata div 3 ya 24,
BIOS = C
HIST = D
MATH = D
CHEM= C
CIV =C
KISW = C
PHY = F
GEO = D
ENG= D
Anaitaj kwenda chuo, mwenyewe anataka msaada wa kujua, je kuna kozi nyingne za kusoma ukiachana na ualimu wa msingi?
habarn wadau, naombeni msaada kwa mwenyekuvijua vyuo vya ualimu vilivyopo mkoa wa Arusha, ualimu kwa shule za msingi, viwe vya selikari, kwamwenyekuvifaham pls antajie
wakuu naomba msaada wenu kwa mwenye kukifahamu chuo cha Safina teachers college kilichopo kinondoni nawaomba mnisaidie website ya ikichuo,naombeni msaada wenu,, 0658831336
Habarini wakuu,
Please nilikuwa naombeni msaada wenu, kuna ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana 2015 amepata division 3 ya 25 but hakuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano,
Nilikuwa naomba msaada kutoka kwenu kwani natafuta shule yoyote ya private ambayo ada yake ni nafuu isizidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.