Kwa kweli hii nchi si jui inakwenda wapi, mitandao ya simu inafanya biashara za pesa,je ni halali au kwenye mikataba (ambayo najua viongozi wanasaini tu bila kusoma) ya kuendesha hizi biashara imo hii ya kuendesha biashara ya pesa??
''Alisema Manji alitakiwa kukabidhi matela hayo katika muda usiopungua miezi mitatu (Septemba Desemba 2008), lakini alikiuka taratibu ambapo aliwakabidhi Novemba mwaka huu.''
=======================================================
Sasa jamani hawa jamaa wanalamika saa hii, kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.