Milion tano bdo hata kwa boma haitoshi hata kma unatumia garama za chini kabsa in case ya mafundi na material bdo kiukwel sababu nyumba ya vyumba 3 lbda kma ni mgongo wa Tembo na chenji itabaki
Ni kosa kubwa mungu kukujalia mtoto hata hutarajia unasema bahati mbaya mm siwezi jpo nilizaa nipo chuo mwaka wa tatu watu. Walinishauri vbaya but nilihaso na mwanangu pamoja na mama yke mpka nikapata kazi serikaln na sasa namfurahia mtoto Wangu wa kiume kinyama, jpo sikupanga mpka sasa Nina...
Habari wakuu ,mm ni mgeni katika uwanja huu wa JF,but nakuja na swali VP hili
website ya KUPATANA ni nzuri au imejaa utapel,natanguliza shukran wada,nawaheshmu SNA na ninamiin tutajengana kifira zaid
Nenda kwenye NG,os kajitolee bure hata kwa miaka miwili ,utaajiriwa ,mm hii imenikuta. Kwa kufanya ivo but walio wengi huwa hawawez coz sometime unaweza usilipwe hata miez mitatu,wakawa wanakusoma umakini wako,so ni alternative mojawapo wa kuwa kwanza na experience,na hata kma hautoajiliwa but...
Kwa mita ni nzuri kulingana na mwezeko wa nyumba yko hasa hzi za kisasa,pia sometime inasaidia kupungza garama,lkn ukinunua but zima kwenye ukataji huwa inauma SNA ,so through measurement unakuwa kwenye bajet kamili
Hapo mpka ufanye kwanza research kwa watu wanao Fanya biashara za mikoan but mm huwa nauzia hapahapa na inanilipa, japo kuwa mda mwingi nafanya shughuli za kiserikali.
Jamani wapendwa naomba mnipe procedures zote unapotaka kubadilishana na MTU kituo cha kazi kutoka mkoa mmoja hadi mwingne,asante,na karibu,natanguliza shukran wana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.