Kama una zaidi ya mwaka mmoja hapo nina imani utakua umeona baadhi ya changamoto katika eneo hilo unaloishi,basi jaribu kutumia changamoto hizo kama fursa.
Je unawaza jinsi ya kuhamia kwenye nyumba yako mpya jinsi gani utasafirisha mizigo,utapangaje nyumba yako ?basi haina haja ya kusumbuka kwani tupo kwa ajili yako.tunatoa huduma zifuatazo..
Usafirishaji mizigo kutoka sehemu moja na Nyingine
.usafi majumbani na ofisini (deep cleaning)
.usafi wa...
Habari ndugu zangu..kama nilivyoeleza hapo juu tunatoa huduma za usafi majumbani kama nyumba ni mpya na unataka kuhamia au hata nyumba unayoishi tunafanya deep cleaning,kufua,kupanga na decoration za kisasa huduma hizo tunatoa ..kwa mawasiliano na maelezo zaidi
0767626990
0714835965...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,nauza kabati la nguo la milango miwili limetumika miezi sita tu ,sababu za kuuza nahama mkoa.kabati lipo dar bei ni 180k maongezi yapo,nipm namba yako kama upo interested au nicheck kwa 0767626990.kwa picha na maelezo.
NB:nmeshindwa kuattach picha...
Ni viatu vya mtumba grade a unapata kwa bei ya 35000 viatu vya ukweli...naatach picha.nipm kwa mawasiliano au whatsaap me 0767626990.kwa picha na mawasiliano
Wakuu naomba msaada nina simu aina ya samsung galaxy note 1 ,ina tatizo la kujizima pindi tu inapokaribia kuisha chaji halafu hainialert inakua kama na vimulimuli af inazima.pia nikiiacha usiku hata kama inachaji asubuhi nakuta imezima.please mwenye kujua tatizo anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.