Search results

  1. Ntile II

    MAREKANI: Mtanzania mcheza Mpira wa Kikapu, Samson Bidan afariki dunia baada ya kutumbukia mtoni

    Bwana alitoa bwana ametwaa Tutakukumbuka sana wanafunzi wa UDSM kwani ni mwaka Jana tu, ulipotuaga baada ya kusoma masomo yako kwa mwaka mmoja tu na kuelekea Marekani. Kwa kipindi kifupi ulichokaa UDSM ulionesha uwezo wako sio tu wakimichezo Bali na uongozi kwa kuwatumikia wanafunzi wenzako...
  2. Ntile II

    Unafiki wa Jenerali Ulimwengu kuhusu demokrasia

    Yani kwa ujenzi hafifu wa hoja kama hivyo unataka kumjibu Ulimwengu?
  3. Ntile II

    CHADEMA yaendelea kujiimarisha Korogwe vijijini

    Safi sana makamanda
  4. Ntile II

    Viongozi wa Kiafrika waache kutumia dhana ya uzalendo kuharalisha udikteta wao

    Rai February 2016 Na. Joel Ntile Mwishoni mwa wiki iliyopita tarehe 30 na 31 ya mwezi wa kwanza ulifanyika mkutano wa 26 wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), makao makuu mjini Addis Ababa Ethiopia. Mkutano huo uliweza kuleta hamasa na mvuto wa kufuatilia kile kilichokua...
  5. Ntile II

    Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

    Israel ina Wayahudi asimia 70, Wakristo asilimia 20 na Muslims ni asilimia 10
  6. Ntile II

    Meya wa Kinondoni amjibu Rais Magufuli, hakuwa na mwaliko wa kuhudhuria uzinduzi wa Polisi

    Wanasema tusichanganye siasa na maendeleo kumbe wao ndio wenye visirani
  7. Ntile II

    Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

    Ingawa sikatai kama CC Dictatorial ipo katika Ku decide the winner
  8. Ntile II

    Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

    Fomu wana chukua, kumbuka Mbowe aligombea 2014 na aliyekuwa Naibu katibu wa chama Jimbo la Tabora
  9. Ntile II

    Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

    Katika kipindi cha miaka 23 yake CHADEMA imeongozwa na wenyeviti 3 tofauti
  10. Ntile II

    Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

    Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti. Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa! Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s...
  11. Ntile II

    Justice For Mnyika

    Leo CCM mnasema justice for Mnyika??
  12. Ntile II

    Jinsi watawala wanavyosigina mamlaka ya wananchi

    Yupo mwanafalsafa mmoja kutoka Ufaransa anaitwa Baron De Montesquieu mtalamu wa Sheria pamoja na masuala ya utawala katika Ulaya mnamo karne ya kumi na nane aliwahi kuainisha aina tatu za tawala katika Mataifa, Aina ya kwanza kwa mujibu wa De Montesquieu ni tawala za Kifalme (Monarch)...
  13. Ntile II

    Jinsi watawala wanavyosigina mamlaka ya wananchi

    ( Rai 02- 08 /06/2016 Alhamisi) Na Joel Ntile Yupo mwanafalsafa mmoja kutoka Ufaransa anaitwa Baron De Montesquieu mtalamu wa Sheria pamoja na masuala ya utawala katika Ulaya mnamo karne ya kumi na nane aliwahi kuainisha aina tatu za tawala katika Mataifa, Aina ya kwanza kwa mujibu wa De...
  14. Ntile II

    President Uhuru, Moi and Biwott in meeting at State House

    Uhuru kaanza kuishiwa pumzi mapema hivi
  15. Ntile II

    Jakaya Mrisho Kikwete aongoza kikao cha kamati kuu ya Halmashauri kuu ya taifa CCM

    Mfumo sasa unaanza kutuingilia Watanzania
  16. Ntile II

    Magufuli atashindwa kama Nyerere

    Uwekezaji usio na tija ni mzigo kwa walalahoi
  17. Ntile II

    Hivi NEMC hakuna Mkurugenzi mpaka mwanasheria anafanya kazi yake?

    Ni kweli, wanahitaji kutumbuliwa
Back
Top Bottom