Duuh kuna watu uwezo wa kufikiri mdogo sana... So Rais ana mfukuza mwanafunzi chuo siku hizi? Acha porojo za kisiasa.
Moja ni muhimu kama nchi kuwekeza kwa vijana, ni elimu pekee ndio urithi bora kwa watanzania.
Mbili Rais mwenyewe amekili kuna matatizo bodi, wizarani na TCU.
Tatu...
Juu ya hili, kimsingi hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi unaoonesha kuwa mafuta ya taa hupunguza ashki. Kilichokuwa kinatokea, sina hakika kama kinaendelea ni imani tu. Nimekula hiyo kitu kwa miaka 6, very disturbing lakini kulikuwa hakuna namna.
Na hii imani haikuwa kwa Tanzania tu...
Kwa kweli mwanamke asiye na kampododo labda nitumie tu lakini, wale walowahi kuwa wapenzi kama wapenzi na mke kama mke kampododo lazima... Inye ina raha yake bana inakupa hamasa shuka panda, shuka panda
Kukurupuka, Ushamba na kukosa taarifa, hawa walimu wa aina hii huja kila mwaka moja. Mbili na bichwa lako looote unaona walimu 52 wanaweza kumaliza tatizo la walimu wa sayansi kwenye shule zaidi ya 1000? Una kurupuka na kuanziasha hoja nyambafu get well informed
1.Adhabu gani Mabaga & Nature
2. Zero Mabaga/Nature
3. Msafiri Kwanza Unit
4. Mikononi mwa Polisi 2Proud
5. Kazeze OCG
6. Mtulize Mabaga
7. Nini Chanzo na nyingine nyiiiiingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.