W
Wanakanusha kwenye vyombo vya habari lakini kiuhalisia wamechukua form na wamerudihsha, iko kwenye ubao wa matangazo wa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo na fomu hiyo ipo mgombea ni DAVID DJUMBE
Hawo wamefuata ulaji/maslahi binafsi rejea Kitila Mkumbo amehamia CCM baada ya kupewa wadhifa katika serikali ya ccm, na hata Law Masha baada ya kukosa nafasi ya ubunge wa A. Mashariki na kwa sasa "Vyuma Vimebana" ameamua kurudi kundini na ameweka bayana anachokitaka. ameomba ikipatikana nafasi...
wakurugenzi wa wilaya zote ni wateule wa rais, makatibu tawala wa mikoa na wilaya, wakuu wa mikoa na wilaya, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, jaji mkuu n.k. hapo sasa
Mimi bado sipati picha hili suala linavyokwenda
Inawezekana kweli raia/muhalifu kumiliki silaha bila uhalali na ashindwe kujulikana? hivi inawezekana huyo raia/muhalifu akamtolea Nape bastola ili tu asifanye mkutano na waandishi wa habari? na ni sababu gani huyo raia/muhalifu zilizomsukuma...
inabidi sasa hata wateule wa rais wawe "Professionals" na sio wa kujua "three R" mi nadhani tatizo ndio linaanzia hapo coz kila mmoja anataka kufurahisha mamlaka ya uteuzi na ndio maana katika kipindi cha uongozi huu matamko yamekua mengi kila mmoja na anavyojisikia kutoa ili boss aone kazi...
Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza brother,
naamini wengi wetu tunamfahamu ben kwa kusoma maandiko yake vivyo hivyo tumesikia kupotea kwake kupitia media na hatujasikia juhudi za serikali kuhusu kupatikana kwa ndugu yetu huyu (japo la faru joni lilifanyiwa kazi haraka sana) rai yangu kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.