Asante sana mkuu. Kwa kweli mi nilinunua hii komputa bila kujua chochote. Je ninaweza kubadilisha processor, let's say i3 au 85 ili iwe na kasi kidogo? Mi matumizi yangu sio makubwa sana, unanisharije?
Cha ajabu kwenye simu nyingine inafanya kazi fresh kabisa wala haihitaji kuzimwa na kuwashwa,na pia nikiweka simcard nyingine kwenye hii simu inapiga kazi fresh bila kuhitaji kuzimwa na kuwashwa. Yaani tatizo lipo ninapoweka Halotel simcard kwenye hii j7
Naombeni msaada jamani. Tatizo hili ni kwa simcard ya Halotel tu. Nimeshajaribu ku format simu lakini wapi, nilienda hadi Halotel Mlimani City na makao makuu ila nao ni kama hawajui tatizo hili linasababishwa na nini.
[Bila shaka ulikula hoteli ya Liverpool, Mombo. Wasafiri wengi hawapendi hiyo hoteli coz wanauza sana viporo. Nimeshawahi kuwa victim wa food poisoning, hasa baada ya kula Liverpool. Nowadays basi likisimama hapo huwa sihangaiki kula chochote hapo.
wasalaam! wanajamii wenzangu siku za hivi...
Usibishe, kuna utofauti. Maji ya Moshi ni mazuri zaidi, yanafanya Coca Cola ya Moshi iwe tamu zaidi. Pili, Coca Cola does not contain cocaine, it contains caffein, sawa na chai na kahawa.
Acha upotoshaji wa kijinga uliojaa upuuzi wa fikra za kijani. Ndio unautafita u dc hivi? Watumishi tunaishi kama mashetani, mkulu hana habari na apenda iwe hivyo. Tunamuombea Mungu apunguze chuki yake kwetu. Sijui tulimkosea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.