Huna vigezo vya kuajiriwa wala kujiajiri maana lugha ya kumjibu anaekutafutia kazi tu mbaya.kila mtu anajua kuwa ujuzi hasa wa fani yako unapatikana chuo.sasa umesoma chuo kipi?halaf faham kazi zipo nyingi unaweza kuwa na hadi masters ya IT bado ukafanya kazi nyingi zinazofanana na hiyo.kwa...
ww mtoa mada acha unafiki....unapotoa maelezo toa na hint...ushahidi sio unapayuka tu unang'ang'aniiiiiiiiia mara mwaka huu mara mwake ule kachukua hela.alivyoenda kuchukua hela mlikuwa wote?hadi ukaona au weka ushahidi .....physical evidence.jenga hoja acha kupotosha watu kama siasa huijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.