Habari ndugu zangu!
Katika mambo ambayo watu wa kisasa tumekosa, hasahasa wakazi wa jiji la Dar, jiji la foleni ni kukosekana kwa muda wa kutafakari. Hii pia inaendana na kujengeka kwa tabia ya kufanya mambo bila kufikiria kwa umakini na undani juu ya jambo hilo....manufaa na madhara yake! Hali...
Habari za leo!
Azania sekondari ni moja ya shule kongwe nchini ambayo huko nyuma ilikuwa na historia nzuri ya kufaulisha na kutoa vijana wazuri kichwani. Kama uliwahi kupitia pale tafadhali jitokeze hapa na utukumbushe historia ya wakati wenu pale Azania.
Ahsanteni sana
She is gone ni kitendo kinachomaanisha kuwa mtu mwengine amemsababishia kuondoka mara nyingi without willing.... Sawa na kusema she is beaten, yaani ameondoshwa na amepigwa resp.
She has gone hii ni present perfect tense... Yaani ameondoka.
Mwoneni dkt. Kwa huduma ya nyumbani ale matango Kila baada ya mlo. Aepuke kunywa maji mpk nusu saa baada ya kula.
Pole sn kwa mashambulizi yasiyo busara. Hii ndio JF bana....
Angalia mfuko wako, gari aina gani unataka? gharama za usafiri, ushuru kisha fanya maamuzi
Angalia mfuko wako, gari aina gani unataka? gharama za usafiri, ushuru na bandarini then fanya maamuzi.
I am afraid your prediction may be wrong and it is just as biased as... the role he played in Kenya post election is remarkable and memorable...and is an indicator for his future position in resolution of conflicts (hatuombi zitokee)!
Habari ndugu zangu!
Katika mambo ambayo watu wa kisasa tumekosa, hasahasa wakazi wa jiji la Dar, jiji la foleni ni kukosekana kwa muda wa kutafakari. Hii pia inaendana na kujengeka kwa tabia ya kufanya mambo bila kufikiria kwa umakini na undani juu ya jambo hilo....manufaa na madhara yake!
Hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.