Kama sio mweusi basi sio mzungu pia. Alafu unavyo sema angepata platform kubwa vile unamanisha nini?? Unataka kusema hakuna weusi wanao pata platform kubwa kumzidi kim na familia yke?
Una kichwa kizito wewe haya ngoja niku eleweshe unielewe nilicho maanisha kama Baba mzungu Mama sio msungu au vice versa mtoto wao hawi considered kama mzungu/halfcast kama tulivyo zoea kuita huku wao hawana mamb ya halfcast ni mweusi tuuuu. Hata akiwa na features zakizungu kwa mfano Ross...
Kuna tafiki yangu mzungu aliniambia kama wazazi wote sio wazungu bas mtoto sio mzungu pia. Wao hawatambui mambo ya halfcast ni black au white tuuu. Ndo maana unaona celebrities wengi ambao mzazi mmoja ni black huwa wanakua considered as a black kwamfano Drake, huyo meghan mwenyewe Ross Barkley...
You know what TTCL kiss my ASS, nyumbani hapawezi kuwa pachungu hivi mabwege mtozeni nyinyi laiti mngejua tunavyo struggle kupata vocha zenu msinge tufanya tu struggle kutafuta kifurushi cha kujiunga.
Namalizia Internet yangu na rudi zangu tigo napiga *147*00# najiunga kifurushi cha mwezi GB7...
Mkuu Hongera sna!! Ila ishapita miezi sita sasa tangu uanze hiyo biashara embu tupe updates biashara inaendaje faida imeongezeka kwa kiasi gani na changamoto gani unazipita?? Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna possibility kubwa sna hiyo ikawa ni Corona lakin kwa mujibu wa hiyo picha ya mdau alie comment hapo chini upo katika hatua za kupona na ukifanya haya mambo ninayo kwambia utakua fresh ndani ya siku chache zijazo chemsaha maji ambayo yana mchanginyiko wa Tangawizi, vitunguu swaumu na...
Wakuu kama kuna mtu bado haja kodolea hivi vigongo ninavyo enda kuviweka ahakikishe anavitafuta kwasababu ni movies ambazo unaweza kuangalia mara elfu moja na usichoke kabisa na vigongo vyote hivi vime base Hollywood.
1. A BRONX TALE*
2. BOYZ N THE HOOD*
3. THE PURSUIT OF HAPPINESS*
4. JOHN...
Hapana ni tumbo la juu tuuu. Na sima maumivi popote zaidi ya tumbo la juu. Na kilalia mgongo yanaongezeka kidogo ila niki lalia tumbo au kiubavu inaleta nafuu kidogo na haya maumivu ninayo kwa siku ya sita sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.