Jambo wadau,
Ninataka nifungua ka school/chuo cha computer mtaani kwetu kwani nimeona hakuna mtaani na ina demand kubwa.
Msaada wapi nitapata computers kwa bei nzuri?
Wadau
Mtoto amemaliza form four mwaka jana na kupata ufaulu huu.Je ni kozi gani anaweza kufanya kwa sababu hataki kwenda form 5, anataka aanze chuo na ngazi ya astashahada
Civics C
History C
Geography C
Kiswahili C
English B+
Literature D
Biology B
Mathematics E
Asanteni
wadau...nina mpango wa kufungua duka la kuuza nguo na vifaa vya watoto. sehemu ninayo ishi ni sehemu ya makazi ya watu wenye kipato cha kati na chini. pia kuna hostel ya vijana wa chuo hapo karibu. Je kwa ushauri ...ni bidhaa gani nyingine ninaweza kuweka dukani kwa ajili ya hii community...
Wadau nahitaji msaada wenu...simu yangu ya Nokia C 3-00 inakataa ku download nokia store. nikifungua Nokia ovi inasema kuna new version lakini ninapotaka ku update inakataa inaleta message ya internal error.
shida inaweza kuwa nn wadau?
Mi nimejaribu lakini sms ya Kujiunga inakataaa kwenda...nimepata sms ya kwanza kuniambia nijiunge...ila majbu yanakataa kwenda....na simu ina credit...sijui tatizo ni nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.