Elimu ina mchango mkubwa sana katika maendeleo ya Taifa lolote
Sio tu kwa waliofaulu bali hata kwa wale wanaopita katika system ya elimu..walioishia la saba mtu alieishia la nne ilimradi anajua kusoma na kuandika..waliofeli form 2 ama form 4 ili mradi kapita katika mfumo wa elimu
1.kwa anaejua...
Hao watakua wamepiga kelele mahakamn wakt kesi ikiendelea...hata jamaa yangu aliwekwaga ndan kwa muda sababu alipiga kelele wakt tulipokua tunasikiliza kesi mahakaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hana umaarufu,wewe ndio humjui
Nenda youtube angalia nyimbo inaitwa bum bum ina views 51 milions na nyingine inaitwa Dance
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule balozi wa nyumba kumi,amelidhalilisha taifa,na pale amemkuta Lisu ametoka wodini na akili yake bado ina usingizi wa madawa ya operations,
Kama ingekua sio hivyo sijui hali ingekuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.