- Thread starter
- #21
Walikosaje viingilio wakati waliingia
Una ushahidi kuwa waliingia.Walikosaje viingilio wakati waliingia
Nguvu za kifreemasons huwa za mikataba, na ukishaisha mkataba wako nawe huna chako tena.Guys ni kweli, hata ndugu zetu Marekani na Canada alikokwenda Diamond ku-perform wanalalamika kuwa jamaa kaishiwa....hana jipya na kuimba hajuwi. Wanashangaa kwanini walilipa kwenda kumuona, wanajutia hela zao.
Huyo bondia huwa naona ni overrated sana na anapendelewa sana. Alichojaaliwa ana nyota ya biashara.Huko abroad Floyd kamchapa mjapani ndani ya dakika mbili tu mchezo ukaisha, yani watu wamelipia mahela halafu mchezo umeisha ndan ya dakika mbili... inauma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
We !! konki wanamtumia tuu hapa bongo mchangani, Kenye ataenda kufanya nini lisauti linakwaruza kama bikipiki iliyokatwa eksosi? yule alipata umaarufu wakati jamii ilikuwa haijaamka kifupi sii mwanamuziki na hao fistifo wanamtumia kwa muda baadaye wanamfekelea mbali, sasa lenyewe badala ya kuweka akiba na kuandaa mtaji kuepuka kulala bar, ndio kwanza limekusanya watoto nakuanza kuzunguka nao kwenye ma clabu kutumbua maishaHii ya kuweka CD ndo msanii aperform live ni kichekesho. Konki aliimba nini? GIGI-Sura nzito je?
Kalipwa bilion 20Huyo bondia huwa naona ni overrated sana na anapendelewa sana. Alichojaaliwa ana nyota ya biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua nowadays mziki uko fake sana. Studio ndo zinamaliza utamu wote.. ngoma nyingi mpaka za mbele zimebebwa na studios tu. Tofauti na akina Fugees na huko nyuma kabisa akina ABBA. So ukisema uimbe ngoma yako uloinogesha na Beats za producer mkali ukaiimba na Band eti ni hatari sana. Lazima uwe fundi sanaGuys ni kweli, hata ndugu zetu Marekani na Canada alikokwenda Diamond ku-perform wanalalamika kuwa jamaa kaishiwa....hana jipya na kuimba hajuwi. Wanashangaa kwanini walilipa kwenda kumuona, wanajutia hela zao.
Tufurahie nn wakati muda umeamua kusema tunawaambiaga huyo mtoto hamna kitu mnabisha haya endeleeni kumlinganisha na SILENT BILLIONAIRE.
WakeNya nao timu kiba? Bas kiba hafai hahahahaTEAM KIBAMIA MNAHANGAIKA NA MONDI
Hahahahaaaa nimecheka kwa sauti had nlokaa nao wanshangaaNarudia tena kwa kama mtu alienda next door arena basi kila alietoka nadhani alifurahi na alijua maana halisi ya liveband
Diamond mwongo mwongo tu japo ndio usanii unavyotaka ila ukweli angefaa kuwa densa mana anakata viuno kuliko kuimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kaisha limebaki jina tu[/QUOTE
Tafuta maneno ya nayo sema Diamond kaisha na yamezungumzwa mara ngapi kisha uje ufungue upupu kama huu. HIVI NYI Team mwafulani huyo jamaa akiisha si ndo furaha yetu, mbona mwateseka Sanaa. Tafuteni kazi za kufanya watoto wa magomeni/kkoo au mkauze maduka ya mama zenu mashombi shombi huko know huku mkisubiri pesa za kutumiwa na ndugu zenu muscat hukooo