Ingawa nina haraka mno ngoja nishare na ww story yangu, i searched for a bby for good 8 yrs, in forth year of my trial nilikuwa diagnosed na PCOS Polycystic Ovarian Syndrome ikimaanisha my ovaries arent producing any eggs yako dormant kabisa. Was getting my MP kila mwezi bila kukosa and ila...
Never imagine in million yrs Kiranga ni kama muitikia kiitikio wa taarabu bendi ya Mzee Yusuph!
Yaani nilikuwa nikiona post tu Kiranga lazima niisome ukianza na ile God issues,
I am in Tz a woman below 30 nafanya kazi n from mkoa yaani ever thing ni my effort, hiyo bail uliyotoa $2500...
Mama aende ofc yoyote la lapf iliyoko karibu nanyi kabla ya 90 dayz atalipwa mafao ya uzazi! zones zipo MZa, Iringa, Dar, Dodoma n Ausha, hata kwa muajiri wake kuna fomu pia
Usidanganye watu,nilipata kazi nzuri sana Social Security nikiwa simjui mtu yeyote yule! Kwanza application alinifanyia mdogo wangu kwa utani tu, nikaitwa interview written n oral nikawa overall nikapewa kazi! Ilinichukua miezi kujua majina ya wakubwa.
From my personal experience from ajira ya...
Tulikaa miaka 8 from Sec to Collegue alivyopata kazi na maisha mazuri alimpa mimba best friend wa mdogo wangu! It was 4 yrs ago sijarecover todate,amemuoa pia bora ww kakuaga hakuniaga, wachache wanaozochanga pamoja end up in marriage!
Concentrate on ur life ili ujustify maumivu kuwa ur okey...
Hardly nafungua chit chart topics ila nasoma headlines, mfano mkikutana mahali u introduce each other by ur id names eehh? Maana mara sijui Tanga trip, white party...!
Tunatofautiana kufanikiwa! I was in big project nikapata hela za fasta nikajenga ss yy ajira ilikuwa ya kawaida! Sikuona shida mm nijenge yy tukae wote as with t angejenga tuhamie kwake tupangishe yangu! Inferiority complex at work! Wa aina hii hata bureee sitaki! A man should have confidence ...
Wanaume hawajiamini kabisa ! Nilichokiacha ss ni Engineer with masters ! Am cpa n masters also, I had much belief in him than he believe in himself! kujishtukia tuu, ss ww una nyumba mi nitaaje kwako! nikamwambia basi nilipe pango ! hataki, nikamuambia I know bby we will be successful lets join...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.