Wanaogopa.challenge! periodsisi tunaoa wasiosoma na ndio maana leo hii ukitembea mtaani kila mwanamke ambaye hajasoma basi kama hana kasoro lazima atakuwa kaolewa,lakini wale waliosoma leo hii wanahangaika wanapomaliza degree zao
wakuwaoa hawawaoni wa kuwaoa ndio unawakuta kibao makanisani wakienda kuombewa ili wapate mabwana,huoni kuwa kuna tatizo hapo waliosoma wanaogopwa kama nini.kazi mnayo mtaishia kupigishwa mimba tu halafu watu wanawakimbia hamuolewi ng'o!!