Nilishitushwa sana na kauli ya waziri wa sheria na katiba celina kombani
aliyoitoa wiki chache zilizopita kuhusu msimamo wake juu ya madai ya
katiba mpya sababu kubwa ikiwa,eti katiba iliyopo inakidhi mahitaji ya wananchi pia mchakato wa kuibadilisha unagharimu fedha nyingi na nchi haina fedha...
Kuna watu hawapendi maendeleo ya nchi hii!!!!!! hivi kama Tanesco imeshindwa kwa nini yasiruhusiwe makampuni ya watu binafsi ili kuendesha usambazaji wa umeme nchini. Hii yote ni sababu ya serikali ya kifisadi.
Tanzania!!! we 'r crying coz of our own decision may God help us.
Nchi yoyote yenye mendeleo ya uchumi siku zote huwa inakua na uwiano mzuri baina ya sekta ya viwanda na Kilimo!!!! Lakini hii ni tofauti sana kwa nchi yetu ya Tanzania, kwani Kilimo imekua ni sekta isiyo na uhusiano wowote na ukuaji wa viwanda kwani mazao huzalishwa bila kuwa na sehemu ya...
sio mawakala wa Dr. slaa ila Kwa mtu yoyote anaeipenda TANZANIA ni lazima afurahie mabadiliko ya katiba kwa ajili yaq maendeleo ya tanzania na watanzania kwa ujumla kama nchi ya kidemokrasia
Ah kuna mambo mengine ni madogo saana na wameyakuza. Hivi mkiwa TAHLISO hamuwezi kudai haki zenu? Katiba inasema nini juu ya mamlaka ya Rais? Kubandika maandishi ya kumchafua inasaidia?
sijakuelewa unaunga mkono ujinga eeh!!!!
Leo tarehe 1 disemba 2010 ni siku maalumu iliyowekwa umoja mataifa
kwa
ajili ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ikiwa na malengo ya
kuielimisha
jamii juu ya janga hili zito la kimataifa kwa kuwafariji waathirika wote.
Lakini kubwa
ikiwa ni kutafuta suluhisho ili kutokomeza athari za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.