Salam naomba kujua kama kuna PDF, au book yenye kuonyesha category ya kila bidhaa ushuru wake hasa bidhaa za Kilimo na usafiri mfano powetila,zana za Kilimo, engine giabox,cabin,na spare za magari mbali mbali wanatumia hesabu IPI nikitaka kuagiza ili niwezejua nijipange vip kuhusu kodi kabla...
USHUHUDA WA THEOFLIDA WA YESU : NILIMLISHA MUME WA MTU, LIMBWATA LA NYAMA YA BUNDI.
Nawasalimu wa jina la YESU, jina kuu kupita majina yote. Jina langu ninaitwa Theoflida , ni mwanamke mwenye umri wa miaka 38 mkaazi wa Mbezi ya Kimara jijini Dar Es Salaam...
Tumekuwa tukipata madhara makubwa sana kurudishwa nyuma kimaendeleo,kuuwawa,kupewa ulemavu,nk kutokana na watu wasiopenda kufanya kazi ,ambao wao utuvizia pindi tuwapo na vitu au Mali za thamani,nimeona kutoa baadhi ya viashiria na ishara ambazo uenda zikasaidia kutuepusha au na majanga hasa...
Napata shida kujua nani wanapanga ushuru wa magari yanayoagizwa toka nje huwa wanatumia vigezo vipo. Mfano unaweza ukanunua kwa bei mliopatana ukifika nchini wanaikataa bei ulionunulia wanakukadiria kwa bei elekezi kulingana na mifumo ya bei zao. Kitu kingine napenda kujua kwann magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.