Leo Esther amejawa na jazba za kisiasa mpaka amevuka mipaka yake ya kuwasilisha mada vizuri kama alivyofanya katika kongamano lililopita. Alikuwa na hoja nzuri tu, kama angeziwasilisha kwa utulivu angekuwa mmoja kati ya wachangiaji waliofanya vizuri. Sijui amepatwa na nini leo.
Alikuwa MTU WA TATU KUJULISHWA...?
Hii sentensi tata. Alijuaje kama yeye alikuwa wa tatu? Wa tatu kujulishwa na nani? Alipata wapi wazo la kumuuliza aliyemjulisha kama yeye ni mtu wa ngapi kujulishwa?
Kwanza naomba kufanya marekebisho kidogo, neno 'Ibara' linatumika tupapozumzia KATIBA, kwenye SHERIA tuna 'Kifungu' hivyo unachozungumzia ni Kifungu cha 24 kwenye Sheria Namba 8 ya 2002 Sheria ya Utumishi wa Umma.
Nadhani umepata point nzuri tu kwamba utaratibu wa kuwaondoa Majaji na Mahakimu...
Kweli wabunge wa CCM kiboko. Dakika chache zilizopita walimshangilia M/Kiti wa Kamati ya Miundo Mbinu kwa kupinga mapendekezo ya Mnyika. Baada ya debate kumsupport Mnyika nao wamegeuka wote.
Na kwa Taarifa zilizomnukuu Halima Mdee kupitia Website ya Millard Ayo, Lulu alikuwa apigwa kwa kutumia ubapa wa panga, hatua iliyopelekea Lulu akafanyiwe uchunguzi wa kitabibu kujua athari za kipigo hicho. Akihojiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi, Kanumba alisema hapigi wanawake.
Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa Afisa Elimu wa Manispaa moja hapa Dar, NECTA wameamua kutoa matokeo pamoja na selection. Kwa hyo kila mwanafunzi aliyefaulu atajua na shule aliyopangiwa, hicho ndicho kinasababisha matokeo kuchelewa kutoka.
Taarifa hyo inaeleza Rais anaona umuhimu wa kuongeza maslahi ya wabunge, lakini amewataka watumie utu na wafikirie tena juu ya maombi yao na amewaagiza kutumia mkutano unaoendelea kufanya hivyo.
Source: Itv Habari ya saa 2 usiku leo.
Database na system nzima ya bodi ya yetu ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni mbovu na inatoa mwanya wa kuibiwa na kuwaibia watanzania maskini waliotukopesha. Wiki iliyopita kwenye website yao wametoa majina ya wadaiwa na vitisho kibao, miongoni mwao kuna majina ya watu ambao wameshamaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.